misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Kweli kabisaKauli za kujifariji hizi sana sana unazikuta tu huku africa hadi huyo unae msema aje afe atakuwa ameshakula bata la kutosha infact kila binadam lazma aje afe.........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisaKauli za kujifariji hizi sana sana unazikuta tu huku africa hadi huyo unae msema aje afe atakuwa ameshakula bata la kutosha infact kila binadam lazma aje afe.........
Kauli za kujifariji hizi sana sana unazikuta tu huku africa hadi huyo unae msema aje afe atakuwa ameshakula bata la kutosha infact kila binadam lazma aje afe.........
Embu niambie mtu kama Makonda ataishi Luxury life maisha yake yote hapo alipo anapata huduma zote muhimu akiumwa anapelekwa Mumbai, S.Africa na mwisho wa picha haji kuishi milelesasa hizo bata za kutosha utaenda nazo wapi? fikiria vizuri usikurupuke mkuu
Ndo mpaka uka 'quote ' uzi wote [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]ujumbe kuntu
ndio..Ndo mpaka uka 'quote ' uzi wote [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Mwenye kujitambua piaUjumbe murua kabisa kwa binadamu yoyote yule alie hai
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Eddo mzee baba, sikuizi wanafungua had sisitivii
Embu niambie mtu kama Makonda ataishi Luxury life maisha yake yote hapo alipo anapata huduma zote muhimu akiumwa anapelekwa Mumbai, S.Africa na mwisho wa picha haji kuishi milele
Maskini kama wewe utaishi kwa tabu na hudumu zote muhimu utasiskia kwenye bomba utafanya kazi kwa tabu, maisha yatakugonga mwisho wa picha hutaishi milele haya bado tu hujaona huo utofauti??[/QUOT
una uhakika na unachokiongea?we unaijua kesho yako?rudia kusoma ujumbe uelewe halafu ukomenti vitu vya akili
kama bado hujaelewa, mungu akusaidie na akufungue macho na akili.