Ujumbe wa Henry Kileo mume wa Joyce Kiria

Mbona mnarudia rudia huo ujumbe. Au yeye ndiyo anarudia rudia kupost?
 
Jiwe gizani hilooooo
 
sitaki kuendelea kukusemesha sana mzee baba
 
Poa, ila kwa yule demu ulibugi. Piga moyo konde songa mbele
Basi naombe nikurudie, hebu niambie inventor wa iphone ni nani maana kileo kasema no Jobs lakini wewe umekataa
 
Alizzoea kintonga sasa naamin anaanza kuelewa life ngoja maisha yamnyooshe. Atapata tabu saaaana
 
Nilipofika hapo kwenye Steve Jobs mwanzilishi wa iphone amekufa kwa kansa nimeacha kusoma.

Sipendi mtu anayeandika uongo halafu anaandika kama ana uhakika na hiko kitu
Nini kilimuua Steve Jobs?.,
 
Angeyasema haya kabla ya kuachwa tungemheshimu. Hii ni soni kubwa sana mwanamme kupewa talaka mchana kweupe.
Ungemweshimu Wewe na nani Mkuu!?
Usisemee nafsi za wenzako kuna watu si ajabu wataanzia hapo kumweshimu!
 
Mkuu, naona leo umenicheka kwasababu nimejaribu kuruka lugha ilio tuogopesha kwa kisingizio cha UMANDE... tehteehhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…