Ujumbe wa Henry Kileo mume wa Joyce Kiria

Ujumbe wa Henry Kileo mume wa Joyce Kiria

Nilipofika hapo kwenye Steve Jobs mwanzilishi wa iphone amekufa kwa kansa nimeacha kusoma.

Sipendi mtu anayeandika uongo halafu anaandika kama ana uhakika na hiko kitu
Mkuu hebu tupe ukweli kwa faida ya wengi.
 
To make long story short, jamaa amezungumzia "DIGNITY"
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kuoa mwanamke mwenye harakati haya ndio madhara yake
 
Siyo huyu mchizi aliyekuwa anatangaza harusi yake humu kwa mbwembwe nyiingi, je alifikiri wkt huo yeye ndo alikuwa wa kwanza kuolewa?
hahahaha...maisha Yame shamchapa makofi " so now amejifunza "."..so muacheni aiseee
 
Ameandika Henry Kileo mume wa Joyce Kiria katika ukurasa wake wa Facebook.

Hakuna chochote katika maisha cha kupigania!

Nguo zako zile bora kabisa kuna mtu kwake ni matambara tu.

Akiba yako kwenye akaunti ya Benki ni sawa na mchango wa mtu katika sherehe tu.

Boyfriend au Girlfriend wako au mchumba ni Ex wa mtu!

Hivyo ni nini hasa cha kujivunia?

Maisha ni mafupi sana na madogo mno kujisikia kuwa mkubwa ama bora kuliko mtu wengine.

"Tupo sote uchi hadi kufa" aliwahi kusema Steve Jobs. Gwiji muanzilishi wa iPhone (ambaye kwa sasa kifo kimemchukua kwa maradhi ya Cancer)

"Hakuna kitu kinachoweza kutuokoa sote Kukabiliwa na kifo".

Naumia kuona watu ambao hujivunia utajiri, uzuri, akili, kiwango cha elimu, umaarufu na vitu vingine vya tamaa za kimwili, kwani hakuna jambo umefanya la mafanikio katika maisha yako ambamo halijafanywa na mtu mwingine ama kupitia

Cheo unachomiliki ofisini leo kilikuwa kinamilikiwa na mtu mwingine kabla na kitatwaliwa na mtu mwingine baadaye, wala hujui mtu huyo anaweza kuwa nani

Kuna jambo moja tu la thamani la kujivunia ambalo ni "MAISHA ndani ya Mwenyezi MUNGU Muumba".

HIVYO ni vema kuwa mwema kwa Jamaa zako na daima tengeneza Marafiki!

Daima kumbuka kwamba watu unaowakanyaga wakati ukiwa njiani kukwea ngazi kwenda juu huenda wakawa ni walewale utakaowakuta kwenye safari yako ya kuteremka ngazi

Hivyo jitahidi usiwe tatizo kwa watu wengine au kufanya maisha magumu kwa mwingine kwa kutumia nafasi yako, kwa sababu kwa wewe kufanya hivyo ipo siku watu hao hao wanaweza kuwa kikwazo kwako siku moja mbeleni.

Kumbuka,hata jani la mgomba wa ndizi kuna siku litanyauka na kuwa majani makavu yasiyo na ukijani tena!

Tafadhali usiwe na Ubinafsi, Wajulishe marafiki wengine kuwa sote tupo njia moja.

Kama siku moja utajisikia kulia, niite. Sina ahadi ya kukufanya ucheke lakini naweza kulia na wewe.

Kama siku moja unataka kukimbia kwenda mbali usiogope simu yangu.Niite nami nakuahidi kukimbia bega kwa bega na wewe!

Lakini, kama siku moja utapiga simu yangu na haina majibu basi njoo kwangu, Huenda nakuhitaji wewe.

Siku moja, mmoja wetu hatutakuwa naye hapa tena na utasikitika juu yake lakini ukiwa umechelewa kwani hutokuwa na nafasi hiyo tena!

Machozi yanaweza kukutoka!,lakini itakuwa umechelewa. Kwa hiyo, mkumbushe na kumwambia kila mtu kama vile ambavyo mimi nimefanya!
Ujumbe umeeleweka,
Lakini je, huyu bado ni Mume wa yule Gumegume?
Nilidhani walishaachana hawa
 
Atafute mke, aachane na mipasho ya wanawake laivu, kuna mabinti kibao wanasubiri ndoa, yeye anabaki ana lalamika lalamika. Wanawake wameumbiwa kusaliti na kusalitiwa
duuuuh aisee... hahaaa "" wanawake wameumbwa " kusaliti na kusalitiwa ....asante mkuu""..
 
hapo kwenye uchumba si kweli kuna watu ni wamekata utepe na hawajawahi kuwa na ma x

aache kuwasingizia watu si kila mtu ni x wa fulani kuna watu hawana x
Nakubaliana na wewe mkuu, kama yeye alioa "used" ajue kuna wengine wameoa "brand new" kama DREAMLINER za JPM!
 
Kunywa maji kwanza halafu uje kuthibitisha Steve Jobs alianzisha kampuni ya iphone lini na alikua kwa kansa lini
We jamaa unakielewa unachoongea? Nani kaanzisha Apple? iPhone ni product ya kampuni gani? Yaani haujui hata kama steve Jobs alikua na cancer? Unashida mahala wewe
 
hapo kwenye uchumba si kweli kuna watu ni wamekata utepe na hawajawahi kuwa na ma x

aache kuwasingizia watu si kila mtu ni x wa fulani kuna watu hawana x
Hii ni nadharia yako tu. Huwezi kuwa na uhakika watu wamekata utepe mara ngapi kabla yako
 
Back
Top Bottom