KING 360
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,002
- 5,192
Kamwe usichoke kumpenda anayekupenda hata kwenye ugumu wa maisha, kwani binadamu shupavu hachoki kupambana na vita ya maisha. Usiwaombee mabaya wale wanaokuchukia yawezekana wakashuhudia mafanikio yako wakiwa hai.
Mtu akikurushia mawe usimrudishie yakusanye ujenge daraja kuelekea kwenye mafanikio. Tambua anayekunyooshea kidole hahitahi jibu maana vidole vilivyobaki vinamwelekea yeye kwani moyo wa huruma ni dawa ya machozi.
Nakutakia siku njema.
Mtu akikurushia mawe usimrudishie yakusanye ujenge daraja kuelekea kwenye mafanikio. Tambua anayekunyooshea kidole hahitahi jibu maana vidole vilivyobaki vinamwelekea yeye kwani moyo wa huruma ni dawa ya machozi.
Nakutakia siku njema.