Sijui WHO ilikuwa wapi kudhibiti zile chanjo kule Sri-lanka zilizodhaniwa ni chanjo ya kansa ya mlango wa kizazi kumbe ni blockage ya mfumo wa uzazi , mabinti wasizae, siombei tujitenge na dunia lakini Tedros amekuwa daraja zuri kwa hiki tunakiita NWO, Tanzania tumechagua model yetu wenyewe that's non of his business, hatuwezi endelea na measures ambazo pamoja na kwamba zimefanywa sana lkn bado rate ya watu kupukutika imekuwa kubwa tu, labda true measures are hidden and these we see as measures remains a blanket for the diseases to go on spreading ili wauze dawa zao, kila nikikumbuka SAP conditions zilivyotumiwa na hizi taasisi za kibeberu kudidimiza uchumi wa 3 rd world countries ninashindwa kuwaamini hawa kina Ghebre Yesus ilhali hata wao hawajui nn kinaendelea..
Kongole Magufuli, better I die than receiving these hells called vaccines, better I die than wearing the hell called mask