mzalendo namba moja
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 537
- 837
Acha Jazba, najua una akili kama za kokolo ndo maana ukashindwa kuchagua hata jina zuri la Id, [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]me naagiza tigoKile kiungo cha Mwanamke ndiyo tusi lako
Hivi akili yako inafanya kazi vizuri!? Hope you are not crazy!Sijui WHO ilikuwa wapi kudhibiti zile chanjo kule Sri-lanka zilizodhaniwa ni chanjo ya kansa ya mlango wa kizazi kumbe ni blockage ya mfumo wa uzazi , mabinti wasizae, siombei tujitenge na dunia lakini Tedros amekuwa daraja zuri kwa hiki tunakiita NWO, Tanzania tumechagua model yetu wenyewe that's non of his business, hatuwezi endelea na measures ambazo pamoja na kwamba zimefanywa sana lkn bado rate ya watu kupukutika imekuwa kubwa tu, labda true measures are hidden and these we see as measures remains a blanket for the diseases to go on spreading ili wauze dawa zao, kila nikikumbuka SAP conditions zilivyotumiwa na hizi taasisi za kibeberu kudidimiza uchumi wa 3 rd world countries ninashindwa kuwaamini hawa kina Ghebre Yesus ilhali hata wao hawajui nn kinaendelea..
Kongole Magufuli, better I die than receiving these hells called vaccines, better I die than wearing the hell called mask
Conspiracy? weka akiba ya maneno bra, go check and recheck utagundua nini ninazungumza, look with your natural eyes utaona vyema.@mzalendonambamoja, issue ya NWO ni conspiracy theory ambayo mtu anapotumia kwenye argument inatilisha shaka uwezo wake wa kupambanua mambo, sio kila kinachoandikwa kina mashiko, mengine ni upotoshaji tuu. NWO, illuminaties, nk nk ni pure rubbish ideas ambazo zinaendekezwa na hizi nchi zetu maskini tuu
Kwani akili yako wewe unayo mr Rev? go back to your sense aisee, usinilazimishe nichukue mlengo wako coz ni ugolo mtupu.Hivi akili yako inafanya kazi vizuri!? Hope you are not crazy!
"diseases to go on spreading ili wauze dawa zao, kila nikikumbuka SAP conditions zilivyotumiwa na hizi taasisi za kibeberu kudidimiza uchumi wa 3 rd world countries"Sijui WHO ilikuwa wapi kudhibiti zile chanjo kule Sri-lanka zilizodhaniwa ni chanjo ya kansa ya mlango wa kizazi kumbe ni blockage ya mfumo wa uzazi , mabinti wasizae, siombei tujitenge na dunia lakini Tedros amekuwa daraja zuri kwa hiki tunakiita NWO, Tanzania tumechagua model yetu wenyewe that's non of his business, hatuwezi endelea na measures ambazo pamoja na kwamba zimefanywa sana lkn bado rate ya watu kupukutika imekuwa kubwa tu, labda true measures are hidden and these we see as measures remains a blanket for the diseases to go on spreading ili wauze dawa zao, kila nikikumbuka SAP conditions zilivyotumiwa na hizi taasisi za kibeberu kudidimiza uchumi wa 3 rd world countries ninashindwa kuwaamini hawa kina Ghebre Yesus ilhali hata wao hawajui nn kinaendelea..
Kongole Magufuli, better I die than receiving these hells called vaccines, better I die than wearing the hell called mask
better I die than receiving these hells called vaccines, better I die than wearing the hell called mask
wataalamu wanashauri ukiwa una lala, lalia tumbo.
Wewe hizo chanjo umezifatlia kweli au wewe ndo mjingaSijui huu ujinga wenu mlisomea wapi? mbona chanjo nyingine za wazungu mnazitumia? kwani hizo sio biashara za wazungu?
Mmeshakiri Corona ipo na zaidi inaua, lakini bado mnakuwa wazito kutoa ushirikiano kwa WHO ili wajue namna ya kutoa msaada wao kwa nchi yetu hasa kwenye suala la vaccines ambazo tayari mlishazikataa mkidai zina sumu, huku mkiendelea kutegemea nyungu ambazo hazijathibitishwa popote unazoziita our model, hii model yenu ya kishirikina msituletee ujinga wenu.
Nimekuona mjinga zaidi ulipotumia neno "labda" kutetea hoja zako za kipuuzi, hilo neno linaonesha hata wewe hauna uhakika na unachokisema ila umeamua kukurupuka tu na vijisababu vya mitaani ujiridhishe wewe na wajinga wenzio, na kwa upumbavu wenu huu mtasababisha madhara kwa wengi zaidi.
Unaposema hutaki tujitenge na dunia wakati tayari mnafuata njia yenu peke yenu tofauti na wenzenu ndio nakuona hujielewi kabisa.
Acha kukufuru.Sijui WHO ilikuwa wapi kudhibiti zile chanjo kule Sri-lanka zilizodhaniwa ni chanjo ya kansa ya mlango wa kizazi kumbe ni blockage ya mfumo wa uzazi , mabinti wasizae, siombei tujitenge na dunia lakini Tedros amekuwa daraja zuri kwa hiki tunakiita NWO, Tanzania tumechagua model yetu wenyewe that's non of his business, hatuwezi endelea na measures ambazo pamoja na kwamba zimefanywa sana lkn bado rate ya watu kupukutika imekuwa kubwa tu, labda true measures are hidden and these we see as measures remains a blanket for the diseases to go on spreading ili wauze dawa zao, kila nikikumbuka SAP conditions zilivyotumiwa na hizi taasisi za kibeberu kudidimiza uchumi wa 3 rd world countries ninashindwa kuwaamini hawa kina Ghebre Yesus ilhali hata wao hawajui nn kinaendelea..
Kongole Magufuli, better I die than receiving these hells called vaccines, better I die than wearing the hell called mask
Wewe umezifuatilia?Twambie technically what wrong with it? Every drug has certain level of toxicity and efficacy.Wewe hizo chanjo umezifatlia kweli au wewe ndo mjinga