Ujumbe wa Sakayo

Status
Not open for further replies.
Chama tawala kimevamiwa na wapinzani...
Swahiba nimesononeka saana.
Nimeghadhafika saana
Nimesikitishwa na kukunyatika nafsi kuona msamaha wako hadi kunako mida hii ya kupeana joto haujakubaliwa.

Kama msaidizi kinda kinda wa chama chetu naomba nichukue wasaa huu kwa kuzingatia itifaki kusema nimeziba kikojoleo cha muombwa msamaha.
 
CC Sakayo

Kwa taarifa na utekelezaji
 
[emoji15] [emoji15]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…