Ujumbe wa Sakayo

Status
Not open for further replies.
Mkuu naomba kujua tofauti kati ya HDMI na VGA ili ikiwezekana tufanye mihamara.
 
Shukrani my Dada tutazingatia sana ushauri wako [emoji120] upo lakini au tunapishana
Asante sana mdogo wangu Shunie.
Nipo...si unajua nimekua kifikra, hivo nashinda jukwaa la siasa, japo kuna changamoto nyingi....ila nakabiliana nazo.
Nitashukuru kama mtazingatia wadogo zangu.
Asante sanaaa Madame B, wewe ni wa mfano kwa kweeli. Mungu akutunze dadangu
Amina na asante, nanyi pia Mungu awasimamie katika msimamo wenu.
Msitetereke muonapo vikwazo, bali kabilianeni navyo.
Tuko pamoja.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…