Ujumbe wa simu unaosambazwa kwa wajumbe wa katiba kuhusu posho na hoja ya serikali 2. Hatari!!!!!!!

Ujumbe wa simu unaosambazwa kwa wajumbe wa katiba kuhusu posho na hoja ya serikali 2. Hatari!!!!!!!

Kama wako kwa msimamo wa chama basi yote ma ccm haya à akili
 
Hayo ndiyo madhara ya rushwa. Inabidi serikali ya CCM iwahonge kiasi chochote wanachotaka, hata kama ni milioni 4 kila mmoja kwa siku ili watimiziwe malengo yao.
 
Kwa staili hyo watanzania wa kawaida tusitarajie katba ya kutusaidia kabisa maana vichaa wamepewa rungu haponi mtu hapa!
 
...mbona mimi sijaupata,na sirikali tatu ni lazima iwe kwa laki moja ama milioni moja ...
 
maana ya kama 500000 itapita tusitegemee kuwakilishwa.du acha nilile sasa
 
waseme mil 5 kwa siku. Ukumbi wenyewe kutoa viti na kuweka vingine ni bil 8. Kupigia kura serikali 2 bila hongo kubwa unakuwa na akili kama kenge
 
Nionavyo mimi, itabidi CCM iwape hongo kisirisiri. Watanzania tuna bahati mbaya sana safari hii!
 
Huu ndio ujumbe wa siri ulionaswa ukisambazwa kwa baadhi ya wajumbe wa tume ya katiba: "Bila laki 5 hakuna ku-support hoja ya serikali mbili. Tuunge mkono hoja ya serikali tatu!"

Mimi ningekuwa Mbunge. ...Kama wenzangu Ndio wana Akili hizi ..ningejiondolea cheo cha uheshimiwa....na hata ikibidi kujiuzulu Ubunge...Watanzania maskini
 
kama hari ndo ilivyo sijui kama katiba iyo itakamilika kwa muda muafaka
 
Hapa tumekwisha !!!!? CCM wasivyopenda
kushindwa watawapa tu.
 
Back
Top Bottom