Hon. Aikambe
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 443
- 70
hapa ndipo akili za maccm yote ilipo fikia akili hakuna, yanatumia ile philosophy ya dawa ya mjinga ni chakula na tumbo, kweli watanzani tukiendelea hivi ni hatari kwa vizazi vyetu baadae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ndio ujumbe wa siri ulionaswa ukisambazwa kwa baadhi ya wajumbe wa tume ya katiba: "Bila laki 5 hakuna ku-support hoja ya serikali mbili. Tuunge mkono hoja ya serikali tatu!"
Hapa tumekwisha !!!!? CCM wasivyopenda
kushindwa watawapa tu.
Huu ndio ujumbe wa siri ulionaswa ukisambazwa kwa baadhi ya wajumbe wa tume ya katiba: "Bila laki 5 hakuna ku-support hoja ya serikali mbili. Tuunge mkono hoja ya serikali tatu!"