Ujumbe wa wadada mitandaoni na picha haviendani

Ujumbe wa wadada mitandaoni na picha haviendani

Tuzidi kumuomba Mungu awahurumie kabisa na kuwasamehe.
 
Bila picha na hizo caption tukaziona kwa macho tutaona kama unawasingizia tu
 
Wengi utawaona wakitoka saloon wakiwa wamepiga make up wanapiga picha na kuirushia mtandaoni juu utaona kameweka maneno mengi ujumbe wake hauendani na picha aliyotupia. lengo lake linakuaga kuonyesha picha. vikitongozwa inbox vinajifanya kuandika kulaumu wanaue kutongoza tongoza hovyo. Sasa umeweka bidhaa sokoni kwa nn watu wasiulize bei
 
Back
Top Bottom