Mbona taifa lenyewe halipo salama kama kuna idara ya 'usalama wa taifa?'. Watu wanawaweka vihiyo kwenye idara nyeti kama hiyo ya inteligensia afu unategemea taifa liwe salama? No. Noooooooooooooooo!
Kukubali hili, labda ubongo wangu ubadilike kuwa kamasi.
Mkuu mmm.Huko unapoelekea naomba kusiwe kule ninapofikiri maana hili laweza kuwa kubwa mara elfu nane ya EPA
Kama unataka kununua silaha na kuziuza kwa nchi zinazopigana na kujipatia utajidiri how do do you do it? Na hasa kama wewe ni "taifa la amani"?
I'm really bored, distressed and depressed so, I'm about to pull out the pin.. will start 2morrow. I besought the PM to address this issue he didn't so.. lolote litakalokuwa na liwe.
I'm really bored, distressed and depressed so, I'm about to pull out the pin.. will start 2morrow. I besought the PM to address this issue he didn't so.. lolote litakalokuwa na liwe.
.... Go ahead son!!
.... Here are some gears from me to help you along the way:
Wewe joka la Kibisa acha mikwara mbuzi. Huna jipya nobody is taking you serious anymore with the exception ya wafunga vibwebwe wako.
Wewe joka la Kibisa acha mikwara mbuzi. Huna jipya nobody is taking you serious anymore with the exception ya wafunga vibwebwe wako.
counting one......
Quote:
Wewe joka la Kibisa acha mikwara mbuzi. Huna jipya nobody is taking you serious anymore with the exception ya wafunga vibwebwe wako.
but why?
why masatu?
....and two
mzee mtu kama huyo anawazuga tu.. unless ni mtu wa Mwang'onda. Sheria ya Usalama wa Taifa iko wazi juu ya kujitambulisha au kumtambulisha kuwa kuwa ni mtu wa usalama wa Taifa. Ni kosa kubwa kweli kisheria, kwenye nchi nyingine linabeba adhabu ya kifungo cha maisha!