Ujumbe wa wazi kwenu Tigo Tanzania

Powder

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2016
Posts
4,977
Reaction score
6,635
Toka Jana Jioni kumekua na Shida ya Internet Kwa maeneo ya Dar es salaam (Sijui mikoani) mpaka muda huu naandika tatizo ni lile lile!

Sijui changamoto hii itaisha saa ngapi, sijasoma Wala kusikia mahali mkieleza kwamba kutakua ama Kuna Tatizo la Mtandao.

Kwa sisi ambao Huwa tunajiunga na Vifurusho vya Internet vya siku, mnakua mnatudhurumu....! Matatizo yenu yakiisha tafadhari mturudishie MBS zetu ambazo zili expire bila Matumizi...!!

Nadhani huo utakua Uungwana mambo ya kupelekana TCRA ama Mahakamani sidhani kama huwa mnapenda.
 
Mitandao yote ya hovyo tu! mpaka Voda nao wana tatizo hilo.
 
Tigo mna shida gani lakini nashindwa kupakua vitu vyangu
 
Nashindwa kujiunga na vifurushi kupitia menu ya *147*00# au wamebadili menu?
 
Nashindwa kujiunga na vifurushi kupitia menu ya *147*00# au wamebadili menu?
Leo menu imegoma kufunguka mkuu mpaka uwapigie kwa namba 100 ununue kwa njia ya sauti
 
Halotel shida yao ni Halopesa.
 
Ni YAS sio Tigo
 
Hivi kuna mtu ana akili timamu anaweza kutumia tigo, sijui yas sijui buzz, sijui mobitel? Jitahidi utumie mtandao mkubwa VODACOM.
 
Yani tangu wabadilishe hii yas sijui yasinta, yassin yani ni shida sana yani alaf wala wahacompasate loss zetu shwain hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…