Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
- Thread starter
- #281
Umesoma vizuri? Au umeona kwenye ugomvi tu? Nimesema usiingilie ugomvi usiokuhusu wala kujua chanzo chake.Hivi adui wa mama yako aweza kuendelea kumfanya rafiki?
Acha kuongea kwa kufunga mawazo yako kabatini,speak globally not locally.