Ujuzi kuhusu kilimo cha GreenHouse

Ujuzi kuhusu kilimo cha GreenHouse

jackderick

Member
Joined
Dec 31, 2012
Posts
29
Reaction score
9
habari zenu wadau.naomba tupeane ujuzi kwa wale wenye uzoefu.na uelewa kuhusu kilimo cha mbogamboga kwa kutumia Greenhouse.nini faida zake .pia changamoto zake..karibuni
 
Mtafute jamaa wa kipindi cha AMKA na BADILIKA anaitwa Mtsimbe,TBC
Huyu atakuunganisha na experts wa kazi hiyo.
Maana kuna siku aliwaalika walikuwa wanachambua kwa kina sana na kwa utaalam wa hali ya juu.
Unajua wa Kenya wapo advanced miaka mingi sana kwenye kazi hii.Kuna jamaa alimualika wa Kenya kwenye kipindi chake Alichambua vizuri mno.Mie mwenyewe najipanga nikiwa sawa nimtafute aniunganishe.
Jaribu number hii ya Mtsimbe kama itakuwa sahihi: 0755 -285023.

Angalizo:-Wataalam wengi wa bongo kwenye hii issue ya Green house hawapo vizuri,wengie wao na sio wote wanaangali pesa tu,anaweza kukushauri kitu sehem sio sahihi na akiishapata pesa unabakia kujijuu mwenyewe.
tafuta mtu mzoefu na akupe references ya sehema amezowahi kufanya na kushauri ili ufuatilie.La sivyo utalia kwa hizo pesa zako ambazo sio chini ya 5m kama sikosei ili kulima kwa faida na tija.
Tafuta jamaa hapo juu atakupa vichwa vya ukweli
 
Mtafute jamaa wa kipindi cha AMKA na BADILIKA anaitwa Mtsimbe,TBC
Huyu atakuunganisha na experts wa kazi hiyo.
Maana kuna siku aliwaalika walikuwa wanachambua kwa kina sana na kwa utaalam wa hali ya juu.
Unajua wa Kenya wapo advanced miaka mingi sana kwenye kazi hii.Kuna jamaa alimualika wa Kenya kwenye kipindi chake Alichambua vizuri mno.Mie mwenyewe najipanga nikiwa sawa nimtafute aniunganishe.
Jaribu number hii ya Mtsimbe kama itakuwa sahihi: 0755 -285023.

Angalizo:-Wataalam wengi wa bongo kwenye hii issue ya Green house hawapo vizuri,wengie wao na sio wote wanaangali pesa tu,anaweza kukushauri kitu sehem sio sahihi na akiishapata pesa unabakia kujijuu mwenyewe.
tafuta mtu mzoefu na akupe references ya sehema amezowahi kufanya na kushauri ili ufuatilie.La sivyo utalia kwa hizo pesa zako ambazo sio chini ya 5m kama sikosei ili kulima kwa faida na tija.
Tafuta jamaa hapo juu atakupa vichwa vya ukweli

Ni kweli mkuu, link hizo hapo chini naongezea

Farmers Kit | Balton Tanzania
https://www.youtube.com/watch?v=M7XSJmroneA
https://www.youtube.com/watch?v=zaaPiU7tv9M

Thanks,
 
Kwa mahitaji ya Greenhouse
IMG_1234.JPG
IMG_1082.JPG
IMG_1237.JPG
 
Mimi naona kuna kila haja ya kwenda kusomea haya mambo hata veta ,sido kama syo sua
 
Back
Top Bottom