Jack Daniel
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 2,912
- 12,904
Ni jambo la kawaida sana wanasiasa haswa wa hapa kwetu Tanzania kuhama chama A kwenda B na kadhalika.
Lakini jambo la kujiuliza ni nyakati na namna muhusika anavyoenda kwenye chama husika.
Yapo maswali ya kujiuliza kuhusu aina ya wanasiasa hawa na namna watanzania tunavyopumbazwa na watu wachache kwa kujifanya hawaelewani kumbe wapo vizuri tu.
Je, Mchungaji Msigwa kuhama chama ambako aliaminika kama mwandamizi kunatoa taswira gani kwa maelfu ya watu waliomwamini?
Je,Msigwa alishindwa kwenda chama kingine tofauti na CCM?
Je,ni mbinu za CCM kuwakeep busy watanzania kulingana na yanayoendelea nchini,suala la Bashe na sukari au Mpina na Bunge na mengine mengi?
Kama Amos Makala alivyouita usajili,na usajili huu umefanyika dakika za mwishoni kabisa,je tutegemee nini kwenye upinzani ambapo chama kikubwa kabisa kimetikisika vilivyo huku CCM ikilamba dume.
Ingawaje sijawahi kuukubali upinzani lakini angalau walikuwa wanaikumbusha serikali mambo mengi.
Achaneni na propaganda za kusema Msigwa kashindwa uchaguzi hivyo akahama chama kwa hasira.bali ni mkakati wa muda mrefu ambao settings zake ndiyo kwanza zinaanza kufanya kazi ,na tutashuhudia mengi .
Loading..........49%....
Lakini jambo la kujiuliza ni nyakati na namna muhusika anavyoenda kwenye chama husika.
Yapo maswali ya kujiuliza kuhusu aina ya wanasiasa hawa na namna watanzania tunavyopumbazwa na watu wachache kwa kujifanya hawaelewani kumbe wapo vizuri tu.
Je, Mchungaji Msigwa kuhama chama ambako aliaminika kama mwandamizi kunatoa taswira gani kwa maelfu ya watu waliomwamini?
Je,Msigwa alishindwa kwenda chama kingine tofauti na CCM?
Je,ni mbinu za CCM kuwakeep busy watanzania kulingana na yanayoendelea nchini,suala la Bashe na sukari au Mpina na Bunge na mengine mengi?
Kama Amos Makala alivyouita usajili,na usajili huu umefanyika dakika za mwishoni kabisa,je tutegemee nini kwenye upinzani ambapo chama kikubwa kabisa kimetikisika vilivyo huku CCM ikilamba dume.
Ingawaje sijawahi kuukubali upinzani lakini angalau walikuwa wanaikumbusha serikali mambo mengi.
Achaneni na propaganda za kusema Msigwa kashindwa uchaguzi hivyo akahama chama kwa hasira.bali ni mkakati wa muda mrefu ambao settings zake ndiyo kwanza zinaanza kufanya kazi ,na tutashuhudia mengi .
Loading..........49%....