Wabaguzi na roho mbaya nchi yao ni shit HolesWafilipino nao ni choka tu kama wengine wanaokwenda kuhudumia vikongwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabaguzi na roho mbaya nchi yao ni shit HolesWafilipino nao ni choka tu kama wengine wanaokwenda kuhudumia vikongwe.
MboyoyoKawaida Wakenya wanafahamika kwa kujituma sio wazembe kama wenzetu hawa, ndio maana diaspora wetu wanatuma hela ambayo inawapa majirani hasira sana kuona wa kwao wameganda huko nje hawana msaada wowote.
Kelele unazipenda sikuhz Kwani uliambiwa watalii huja ili wakuskie unachosema au kuangalia anachokionaWakwenu watu wa ze ze ze na waoga waoga wasiojiamini wanaishia kufulia huko, unakuta mtu anajiita diaspora lakini hovyoo kabisa.... Yaani nyie ujamaa uliwalemaza kwa kweli na ndio maana nimeona taarifa za juzi watalii wakija Tz hawataki kurudi tena, unalipa mahela kisha unapokelewa na mtu anayekenua meno tu na kusema sema ze ze ze hamna chochote kinachoeleweka
Siukae hapo Nairobi uchuuze mitumba kulikoni ukawe muosha vyombo kwenye miji ya watu. ....Huyu ndugu yangu na hii "Kiingereza" yake does he stand a chance? [emoji23] [emoji23]
Wakenya mnanifurahishaga hapo tuWakwenu watu wa ze ze ze na waoga waoga wasiojiamini wanaishia kufulia huko, unakuta mtu anajiita diaspora lakini hovyoo kabisa.... Yaani nyie ujamaa uliwalemaza kwa kweli na ndio maana nimeona taarifa za juzi watalii wakija Tz hawataki kurudi tena, unalipa mahela kisha unapokelewa na mtu anayekenua meno tu na kusema sema ze ze ze hamna chochote kinachoeleweka
Kelele unazipenda sikuhz Kwani uliambiwa watalii huja ili wakuskie unachosema au kuangalia anachokiona
Wakenya mnanifurahishaga hapo tu
Yaani kuongea kizungu hapo waingereza waliwaharibu kabisa
That is a lazy mentality. And just in case you didn't know, most Kenyans working abroad are professionals. If they are doing odd jobs as you imply above, hizo pesa zote wanatuma nyumbani zinatoka wapi? I have relatives and neighbours who work in Germany and Switzerland and all of them are professionalsSiukae hapo Nairobi uchuuze mitumba kulikoni ukawe muosha vyombo kwenye miji ya watu. ....