UK tuliwakaribia (treni ya umeme), wacha tupigwe Vita aisee!

UK tuliwakaribia (treni ya umeme), wacha tupigwe Vita aisee!

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Kumbe ndo maana tunashambuliwa kila mahali na kila kona, nimecheki Uingereza former english empire only 38% ya railway network yake ndio kuna treni ya umeme au electrified na iliyobakia ni diesel engines hivyo > 50% ya treni za UK ni diesel na nchi ya Ireland ndo kabisaa treni ya umeme ni mji mkubwa wa Dublin na viunga vyake tu kulikobakia kote ni diesel locomotive.

sisi tulikuwa tunaifikisha hii ngoma mpaka Mwanza na Kigoma, duh kweli tulikuwa mbele ya muda ni lazima wakuondoe tu …
Screenshot_20240508_112703_Chrome.jpg

 
Hapo alipo anajona mzima mzima kabisa,
Huyu kaleta mpya leo, hiyo South Africa yenye mtandao mkubwa wa metro train bado huwezi kuilinganisha na Uingereza.

Yani huyu hajui kuna treni ya kutoka London kwenda Paris inayopita chini ya bahari english channel.

Ccm imezalisha vizazi vya hovyo kabisa.
 
Ngoja waje Waingereza wa buza.

"Utawasikia" in Lema's voice

'Tuliwatawala'
 
Hongera na wewe kwa Uandishi wa Thridi Umejitahidi Dogo!!
 
Toroli likibeba mzigo wa 99% ya uwezo wake linakuwa limebeba mzigo mwingi kuliko lori liliobeba mzigo wa 40% ya uwezo wake hizo ndo hesabu za mtoa mada.
 
kumbe ndo maana tunashambuliwa kila mahali na kila kona, nimecheki Uingereza former english empire only 38% ya railway network yake ndio kuna treni ya umeme au electrified na iliyobakia ni diesel engines hivyo > 50% ya treni za UK ni diesel na nchi ya Ireland ndo kabisaa treni ya umeme ni mji mkubwa wa Dublin na viunga vyake tu kulikobakia kote ni diesel locomotive.

sisi tulikuwa tunaifikisha hii ngoma mpaka Mwanza na Kigoma, duh kweli tulikuwa mbele ya muda ni lazima wakuondoe tu …
View attachment 2984349
View attachment 2984348
mshukuruni Mungu kwa kumleta Magufuli aliyeanzisha hicho kitu. mkumbukeni kwa hilo.
 
kumbe ndo maana tunashambuliwa kila mahali na kila kona, nimecheki Uingereza former english empire only 38% ya railway network yake ndio kuna treni ya umeme au electrified na iliyobakia ni diesel engines hivyo > 50% ya treni za UK ni diesel na nchi ya Ireland ndo kabisaa treni ya umeme ni mji mkubwa wa Dublin na viunga vyake tu kulikobakia kote ni diesel locomotive.

sisi tulikuwa tunaifikisha hii ngoma mpaka Mwanza na Kigoma, duh kweli tulikuwa mbele ya muda ni lazima wakuondoe tu …
View attachment 2984349
View attachment 2984348

Google tren ya mwendokasi ya UK na yetu

Pia Google mabehewa ya miaka 20 iliyopita na ya miaka 3 iliyopita
 
Nenda katembee uone kama mnalingana Mkuu yaani ni ardhi na Mbingu ulaya pasiki e tu....tuko nyuma mno mno
 
Back
Top Bottom