UK watangaza kumshika Netanyahu endapo atatia maguu

UK watangaza kumshika Netanyahu endapo atatia maguu

5523

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2014
Posts
2,275
Reaction score
2,410
n.jpg
 
Uyo jamaa wa UK ndio kafosi itolewe iyo Hati y ICC kwasasa UK akanyaji uyu paka. Kwanza watu wakisikia tu anakuja iyoiyo siku kutawakamoto upya.. labda ufaransa anaweza kwenda japo nao walisema watamshika, lkn Uk chini ya uyu mwamba PM mpya asogei kule.
Sidhanii kama watamkamata ila tu kutolewa hio warranty sio jambo dogo inaonesha kwamba wazayuni sio tena specho kama walivyojiamini kua
 
Hivi umesoma hii barua ukaielewa?
Ebu muwe mnasoma mnaelewa kabla ya kukurupuka kuandika. Na moderator wa Jamii forum nao wanruhusu huu upotoshaji na wanapambana na wanaojaribu kuweka vitu sawa.

Soma hiyo barua na uelewe, halafu angalia walioandika hiyo barua ni akina nani na wamemwandikia nani. Halafu jiulize huo kama ndo msimamo wa UK.
 
Hivi umesoma hii barua ukaielewa?
Ebu muwe mnasoma mnaelewa kabla ya kukurupuka kuandika. Na moderator wa Jamii forum nao wanruhusu huu upotoshaji na wanapambana na wanaojaribu kuweka vitu sawa.

Soma hiyo barua na uelewe, halafu angalia walioandika hiyo barua ni akina nani na wamemwandikia nani. Halafu jiulize huo kama ndo msimamo wa UK.
inashashangaza mno ,wabunge watatu independently wamejikusanya wakaandika kijarida then inaletwa kama jambo la serikali ya UK
Moderator au nawewe kobazi zinabana?
 
Hivi umesoma hii barua ukaielewa?
Ebu muwe mnasoma mnaelewa kabla ya kukurupuka kuandika. Na moderator wa Jamii forum nao wanruhusu huu upotoshaji na wanapambana na wanaojaribu kuweka vitu sawa.

Soma hiyo barua na uelewe, halafu angalia walioandika hiyo barua ni akina nani na wamemwandikia nani. Halafu jiulize huo kama ndo msimamo wa UK.
Hiyo barua mkuu unaweza weka maoni yako, ni mambo ambayo nimeyaibua kwenye media baada ya UK kutangaza kumshika jamaa atakapotia maguu
 
Waisraeli wanaifluence kwenye nafasi za maamuzi kwa nchi nyingi za ulaya na pia sekta nyeti wamezishika wao.

Hilo jambo ni gumu.

Hao UK ndio waliosaidia kupatikana kwa Jewish State halafu leo wamkamate Netanyahu??

Check your sources again.
 
Nchi za afrika hata Moja hakuna aliyetangaza kuwa atamkamata netanyahu!Afrika bara la Giza kwelikweli
 
Waisraeli wanaifluence kwenye nafasi za maamuzi kwa nchi nyingi za ulaya na pia sekta nyeti wamezishika wao.

Hilo jambo ni gumu.

Hao UK ndio waliosaidia kupatikana kwa Jewish State halafu leo wamkamate Netanyahu??

Check your sources again.
Ni sawa mkuu lakini shilingi ina pande 2., Kama ICC wameianzisha wao ili kudhibiti mauaji ya binaadamu yasiyo na hatia na mahakama maamuzi ndo yametoka kuna wajibu wa kuheshimu na ndivyo ilivyo., Israel ipo na haitaondoka lakini Netanyahu atashughulikiwa kwa mauaji ata France wametangaza kuheshimu maamuzi ya ICC, Ujerumani, Australia, Canada, Finland na nchi nyengine wanachama tele, kama watakataa kutekeleza umoja wao wa ICC utakuwa haukuleta tija wala maana na kwa wazungu hilo dosari kubwa sana
 
Hiyo barua mkuu unaweza weka maoni yako, ni mambo ambayo nimeyaibua kwenye media baada ya UK kutangaza kumshika jamaa atakapotia maguu
Weka hata taarifa rasmi ya UK kwamba watamkamata Netanyahu siyo hizo porojo zako.
Halafu huu mwandiko wako mbona kama wa webabu/alwaz?
 
Back
Top Bottom