Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii Barua ni ya Wabunge Waislamu kwenda kwa Waziri Mkuu wa Uingereza.
Soma vizuri elewa content usihemukeUyo jamaa wa UK ndio kafosi itolewe iyo Hati y ICC kwasasa UK akanyaji uyu paka. Kwanza watu wakisikia tu anakuja iyoiyo siku kutawakamoto upya.. labda ufaransa anaweza kwenda japo nao walisema watamshika, lkn Uk chini ya uyu mwamba PM mpya asogei kule.
Sio wa nyuma tu hata wa mbele wana wasaidiaWanawatia moyo wajinga.
Watawezaje kumkamata wakati mlango wa nyuma ndio wanaomsaidia na kushirikiana naye?
Wewe ndio hujielewi, kuna statement ya msemaji wa waziri mkuuHivi umesoma hii barua ukaielewa?
Ebu muwe mnasoma mnaelewa kabla ya kukurupuka kuandika. Na moderator wa Jamii forum nao wanruhusu huu upotoshaji na wanapambana na wanaojaribu kuweka vitu sawa.
Soma hiyo barua na uelewe, halafu angalia walioandika hiyo barua ni akina nani na wamemwandikia nani. Halafu jiulize huo kama ndo msimamo wa UK.
GenocideWamkamate kwa kosa gani?
Hawa hapa BBC wenyeweWeka hata taarifa rasmi ya UK kwamba watamkamata Netanyahu siyo hizo porojo zako.
Halafu huu mwandiko wako mbona kama wa webabu/alwaz?
Kwani Netanyahu ndio Israel? Mbona UN pia ilichangia kuanzishwa Israel ila kila siku inatoa matamko ya kuipinga.Waisraeli wanaifluence kwenye nafasi za maamuzi kwa nchi nyingi za ulaya na pia sekta nyeti wamezishika wao.
Hilo jambo ni gumu.
Hao UK ndio waliosaidia kupatikana kwa Jewish State halafu leo wamkamate Netanyahu??
Check your sources again.
inashashangaza mno ,wabunge watatu independently wamejikusanya wakaandika kijarida then inaletwa kama jambo la serikali ya UK
Moderator au nawewe kobazi zinabana?
jidanganye hu yo chief proseutor was ICC anatafutwa tafutwaUyo jamaa wa UK ndio kafosi itolewe iyo Hati y ICC kwasasa UK akanyaji uyu paka. Kwanza watu wakisikia tu anakuja iyoiyo siku kutawakamoto upya.. labda ufaransa anaweza kwenda japo nao walisema watamshika, lkn Uk chini ya uyu mwamba PM mpya asogei kule.
Hili ndiyo tamko la kumkamata?
Genocide dhidi ya Hamas na HezbollahGenocide
Na hao hao UK ndio waliokataa kuundwa kwa Jewish state 1917 na kuja kukubali 1947.Waisraeli wanaifluence kwenye nafasi za maamuzi kwa nchi nyingi za ulaya na pia sekta nyeti wamezishika wao.
Hilo jambo ni gumu.
Hao UK ndio waliosaidia kupatikana kwa Jewish State halafu leo wamkamate Netanyahu??
Check your sources again.