INASIKITISHA SANA!isifutwe iachwe tu..tusikatishe tamaa junior members....
mpoki hii nchi imeshaingia kwenye utawala wa kifalme if your dad is not or was not WHO IS WHO in tanzania circles bora tu utafutage kazi nyingine..watoto wetu watakuwa WORKING CLASS TU..ruling CLASS tayari ipo ..si unaona wameshawaazishia watoto hadi kwenye siasa...
japo nimechelewa naomba nichangia mtizamo wa mwenzangu about this,naisi inawezekana! one comment 4my fellow,ondoa fikra za kuajiriwa tumia that litle or much you have kujiinua kiuchumi si wote walioko madarakani wamepigiwa pande,pia jifunze kutafuta marafiki wa kila aina uwezi jua nani atakuwa nan isitoshe sometimes academic exellence matters,find your position
Mwana Mariam,
Hope humaanishi kuwa hakuna ukabila! Kuna ushahidi umetolewa tangu mwanzo wa hii thread!
Ajira za vimemo, ngono, ukabila ni mambo ya kawaida ambapo Watz wameshazoea!
Najua hii topiki haitokuwa poplar na baadhi ya watu humu ndani na hata wenye website lakini potelea mbali
Je ni kweli wizara hizo zimejaa makabila ya Wachagga,Wanyakyusa na wahaya?
mimi nilikuwa siamini mpaka pale NILIPO ambiwa kuwa kuna UKABILA wa hali ya juuu kule Ikulu NA vile vile namba mbili kwa UKABILA ni TRA je kuna ukweli katika haya?
Japo kuna watu wanasema kuwa ni udini lakini sumu ambayo hatuko tayari hata kuijadili ni hii ya ukabila na ndio inayoturudisha nyuma je mnakubaliana nayo?
-JAMBO FORUMS WHERE WE DARE TALK OPENLY
HUU NI UBAGUZI! Bango la nafasi za kazi ya muuzaji kwenye famasia lililobandikwa katika moja ya maduka ya Shoppers Plaza, Dar es Salaam, likionesha sifa mojawapo ya mwombaji ni kuwa Mtanzania mwenye asili ya Asia. (Picha na Emmanuel Kwitema)
Chanzo: Majira, 20/01/2008
Hii habari nimeiweka mahali hapa makusudi kwa sababu suala lenyewe limetokea huku tukiwa katika mjadala wa ukabila na mabo mengine yanayofanana na hayo kwa miezi kadhaa sasa!
Je ubaguzi wa namna hii utakoma lini?
Binafsi nachukia sana ubaguzi!
hii ni hatari sana,Ndio mana wakati mwingine huwa nawachukia ndugu zetu wahindi kwa mambo yao wanayowafanya watanzania wenzangu na wala sio mimi.
hii inabidi ipelekwe wizara ya kazi.JF ni kiboko..TACAIDS wameshabadili Forum yao within 48 hours.
Idimi
Hata kama ni ubaguzi at least it is explicit! Ukabila, rushwa za ngono, n.k je hii hutangwaza ktk magezeti?
jamani ukabila mbaya hebu nadhani sote tumeshuhudia yanayotokea Kenya!