Mtized one
Member
- Jul 27, 2011
- 46
- 7
asante kwa nukuu hizo hata asiyelewa akisoma nukuu za mwalimu zinajitosheleza. Tukisema enzi za mwalimu haaaaaaaaaa haziishi.
Najua hii topiki haitokuwa poplar na baadhi ya watu humu ndani na hata wenye website lakini potelea mbali
Je ni kweli wizara hizo zimejaa makabila ya Wachagga,Wanyakyusa na wahaya?
mimi nilikuwa siamini mpaka pale NILIPO ambiwa kuwa kuna UKABILA wa hali ya juuu kule Ikulu NA vile vile namba mbili kwa UKABILA ni TRA je kuna ukweli katika haya?
Japo kuna watu wanasema kuwa ni udini lakini sumu ambayo hatuko tayari hata kuijadili ni hii ya ukabila na ndio inayoturudisha nyuma je mnakubaliana nayo?
mpendwa nduguyangu salaamu nyingi ninakupa, ila kinacho nisikitisha ni kusema kwamba kuna ukabila na kutaja makabila zaidi ya mawili hii inaonyesha ukabila bado hujaujua, naona sasa watanzania sote tujikite katika kujikwamua na kujijenga kifikra zaidi ili tulijenge taifa letu. ningependa pia tuache marumbano yasio na faida kwetu na kwa yeyote ambae atayasikia au kuyaona.
jambo la pili ni kuzitaja wizara na idara kama unataja mafungu ya nyanya sokoni ni ukosefu wa maadili mema na kuonyesha kwamba bado hujapevuka kifikra na huna uzarendo na taifa hili hata kidogo.jambo hili mimi nalipinga la udini na ukabila, nchini kwetu hakuna hakuna ukabila wala udini na kwauwezo wa mungu hautakuepo leo wala kesho na hata milele.
tatu -JAMBO FORUMS WHERE WE DARE TALK OPENLY,sasa basi nchi yetu tungependa kuiendeleza kimatendo zaidi nasio kwa malumbano yasio na tija wala malego yoyote ya kujijenga binafsi kimaendeleo kwa kujikita katima vikundi vya ujasilia mali kilimo biashara za ndani na nje na mambo mengine ya kujitambua tuko wapi na tunakwenda wapi kwa kutazama wenzetu wa mataifa yote wako wapi ili kujiridhisha hapo utaona hakuna umuhimu wa maneno maneno ila ni vitendo zaidi.
,kwa nnMimi naweza kukubaliana nawe na usije sahau udini ni mwingi sana Ikulu
<br /><font color="#0000cd"><font size="3">Najua hii topiki haitokuwa poplar na baadhi ya watu humu ndani na hata wenye website lakini potelea mbali<br />
<br />
Je ni kweli wizara hizo zimejaa makabila ya Wachagga,Wanyakyusa na wahaya?<br />
<br />
mimi nilikuwa siamini mpaka pale NILIPO ambiwa kuwa kuna UKABILA wa hali ya juuu kule Ikulu NA vile vile namba mbili kwa UKABILA ni TRA je kuna ukweli katika haya? <br />
<br />
Japo kuna watu wanasema kuwa ni udini lakini sumu ambayo hatuko tayari hata kuijadili ni hii ya ukabila na ndio inayoturudisha nyuma je mnakubaliana nayo?</font></font><br />
<hr /><div style="margin-left:80px"> mpendwa nduguyangu salaamu nyingi ninakupa, ila kinacho nisikitisha ni kusema kwamba kuna ukabila na kutaja makabila zaidi ya mawili hii inaonyesha ukabila bado hujaujua, naona sasa watanzania sote tujikite katika kujikwamua na kujijenga kifikra zaidi ili tulijenge taifa letu. ningependa pia tuache marumbano yasio na faida kwetu na kwa yeyote ambae atayasikia au kuyaona. </div><br />
<br />
jambo la pili ni kuzitaja wizara na idara kama unataja mafungu ya nyanya sokoni ni ukosefu wa maadili mema na kuonyesha kwamba bado hujapevuka kifikra na huna uzarendo na taifa hili hata kidogo.jambo hili mimi nalipinga la udini na ukabila, nchini kwetu hakuna hakuna ukabila wala udini na kwauwezo wa mungu hautakuepo leo wala kesho na hata milele.<br />
<font size="4"><font color="black"> tatu -JAMBO FORUMS WHERE WE DARE TALK OPENLY,sasa basi nchi yetu tungependa kuiendeleza kimatendo zaidi nasio kwa malumbano yasio na tija wala malego yoyote ya kujijenga binafsi kimaendeleo kwa kujikita katima vikundi vya ujasilia mali kilimo biashara za ndani na nje na mambo mengine ya kujitambua tuko wapi na tunakwenda wapi kwa kutazama wenzetu wa mataifa yote wako wapi ili kujiridhisha hapo utaona hakuna umuhimu wa maneno maneno ila ni vitendo zaidi. </font></font>
<br />
Ana haki ya kufikiri tofauti na wewe. na anaweza kuwa anasema ukweli pia.
Siamini kama uko justified kutoa conclusions zako kuhusu makabila haya kwa kutumia hiyo experience yako ndogo ya kuhisi (labda na kusikia) na ulipokuwa chuo. Kwanza si kwamba kama ulikuwa A student basi utaweza ku deliver kazini. Elimu yetu yatufunza "kukariri". Huwezi fanya kazi kwa kutumia elimu "uliyokariri", hivyo usitegemee A student wajae ikulu au TRA na kwingineko, maana kule hatukariri hesabu, jiografia n.k. ila tunafanya kazi. Kule hawaangalii kama ulipata A, hizo A nenda nazo chuo kafundishie watu kukariri. Robert Kiyosaki anazungumzia kuhusu kusaidiana katika masomo ambapo wewe wasema ni cheating, lakini ukienda kwenye ajira hutakuwa ukifanya kazi bila ushirikiano na wenzako. Ndio maana A student wengi huwa hawawezi kuwa na team work maana kwao ushirikiano ni cheating, na hii huwafanya dellivery zao kuwa poor. I was an A student, A ya point 7 na point 3, na GPA kubwa chuoni, ila naamini sana katika ushirikiano darasani.....Greedy kwao sio kubwa ukilinganisha na makabila mengine. Kitu kizuri kinachonivutia zaidi kwa hawa watu wa makabila manyonge, hata elimu zao wanazipata kwa uaminifu - namaanisha sio watu wa kuiba mitihani, kununua vyeti au kudanganya viwango vya elimu. ...Sasa haya kama yalikwepo na ni ya kweli, ni hatari ndio maana unaona jinsi watu wanavyoboronga kutoka ofisi ya juu kabisa serikalini mpaka chini.
Sasa niwachekeshe hapa ingawa ni jambo la kweli: Nimemaliza UDSM 2008, kuna kundi ambalo nilikuwa napenda kudiscuss nalo, halikuwa kundi la marafiki sana lakini lilikuwa kama kundi la marafiki wa kusoma pamoja. Kuna siku moja baada ya kumaliza kudiscuss somo fulani ambalo tulikuwa tunajindaa kwa ajili ya test, hao ndugu zangu wakasema sasa tuset format ya jinsi ya kukaa ili tudesane. Nikawaambia jamani kwa nini mnakuwa na mawazo kama haya? Tuna muda wa kujisomea kwa nini tusijiandae tukaenda kufanya test kihalali? Ili hali bado tuna muda? Kumbuka niliwashauri kwa upole kabisa na kwa upendo. Ndugu yangu mmojawapo akanijibu: wewe si unajifanya kichwa? Tuone sasa kama utamaliza bila kushikwa! Kushikwa/kukamtwa hapa ni aidha kufeli somo moja au zaidi, hali ikiwa mbaya unadisco! Nilimjibu kwa ujasiri kwamba, sitadesa, na nitamaliza hapa mlimani nikifaulu tu, na kabla hujamaliza chuo usipobadili hiyo tabia nitakushuhudia ukikamatwa wewe! Hakubadili tabia, aliendelea kudesa, alikamatwa akawa anaona aibu hata kuniangalia. Baadaye alinijia na kuniomba ushauri ni jinsi gani asome ili asishikwe. Kwanza kabisa nilimwambia marufuku kudesa kuanzia leo kama unataka kufaulu. Sasa tunaheshimiana sana.
samvulechole... hakuna hoja ambayo ni ngeni hapa.. madai ya makabila hayo kupendelewa hayakuanza leo! tangu mara tu baada ya uhuru kulikuwa na tuhuma hizo hizo.. so.. there is nothing there..! Hata hivyo hatari unayoweza kuleta siyo ukabila bali ubaguzi, kuwa kama mtu anatoka kwenye makabila hayo basi asipewe nafasi fulani kwa vile watu fulani wanadhani kuna ukabila! Nitakupa mfano, kuna wanasheria watatu wote ni maprofesa... kuna Prof. Mwakalindile (Sheria, uzoefu miaka 30), Prof. Mtimba (mmakua, uzoefu miaka 10, sheria), na Prof. Chanda (Mzigua, sheria uzoefu miaka 5). Assuming maeneo ya fani zao ni sawa, ceteris paribus Rais anataka kumteua mshauri wa kisheria.. nani apewe kwa haki? Wengi watasema prof. Mwakalindile! Sasa kwa kufanya hivyo hata hivyo kuna wanyakyusa wawili tayari hapo ikulu ambao wameshapata nafasi zao, je tumnyime Mwakalindile kwa vile itaonesha ukabila?
Kabla hatujafikia hapo pa kudai ukabila tujiulize: "Kwanini inaonekana kuna wasomi wengi wa makabila hayo matatu Wachaga, Wahaya, na Wanyakyusa"? Je, tupunguze wanafunzi wanaotoka kwenye makabila hayo na kuwapa nafasi watu wa makabila mengine ili kuleta uwiano (parity)? Je tukiamua kufanya hivyo hatutakuwa tunaanza ubaguzi wa kikabila?
Tarehe 9 Disemba 1968 Nyerere alitumia siku ya Jamhuri kuzungumzia "Vitu ambavyo ni lazima Tuvisahihishe", vitu ambavyo baada ya uhuru havikwenda vilivyotarajiwa. Alizungumzia ukabila; kwanza alisema hivi:
"the man who talks about tribalism being practised without having any evidence for his statement is often a man who wants to stir up tribalism. Even if that is not his purpose, the result can be just the same. People will begin to think that there is tribalism, and, once people begin to think in these terms, then tribalism has begun to enter tinto our society"
Kuhusu Wahaya, Wanyakyusa, na Wachaga kupata nafasi nyingi katika serikali, Mwalimu alisema hivi miaka karibu 30 iliyopita:
"..the work of the civil servants and people in the parastatal organizations does require education..it so happened that the Tanzanians who had the opportunity for higher education under the colonialists were mostly Wahaya, Wachagga, and Wanyakyusa. And because most of the education was provided by missionaries, most of these people are also Christians. That was our inheritance. These conditions will change, but they have not changed yet. And for these reasons, when we get rid of the Europeans who were doing responsible jobs, and give these jobs to Tanzanians, the people who get them come mostly from one or other of these three tribes".
Akaongeza pia,
"Therefore, if you ask me why Wahaya, Wachagga, and Wanyakyusa have most of the jobs which require higher education, the answer is very obvious. They were the ones who received higher education during colonial times. I'd say: investigate the position in politics where a man is not asked about his educational qualifications. Look at the Parliament, the National Executive and Central Committee of TANU, and at the Cabinet. How many Wanyakyusa, Wahaya, or Wachagga are members? You will find that perhaps there aren't any, or there are one or two. This is the truth"
kwa umahiri wake wa maneno JKN akatoboa ukweli huu
"Anyone who refuses to accept a very obvious truth like this, and says that the reason is tribalism, must provide us with the evidence for his statement. If he cannot provide any evidence, we must conclude either that he is a fool, or that he is strirring up tribalism deliberately. He is the sort of (a) person who begs work on a tribal basis, and when he is refused because he does not have the capabilities, he pretends he was refused on tribal grounds."
Akasema pia ni jukumu la serikali kusaidia sehemu ambazo bado ziko nyuma kielimu. Na alimaliza kwa kusema:
".. if a Mchagga, a Mhaya, or a Mnyakyusayoung man were refused work simply because of his tribe - when he is capable and there is no other Tanzanian with the qualifications - then we would be practising a very stupid and very evil kind of tribalism such as that which caused the establishment of Biafra. I beg you, my brothers, avoid ANYTHING WHICH COULD BRING OUR COUNTRY INTO THIS KIND OF DISGRACE" (emphasis mine)
(From: Uhuru na Maendeleo pp 76,77)
so what say you?