Ukabila Kenya: Mgawanyo wa Wizara za Kenya kulingana na Makabila

Huu wimbo ukiusikia ndio utajua Tanzania ni nchi amazing sana

Huu wimbo unachochea chuki machafuko mauaji ya kikabila na huko Kenya umekua on trending

Lakini ukiusikuliza vizuri utaona namna Kenya ilivyo ya hovyo kwenye uongozi ni Taifa corrupted number 1 duniani na viongozi wasiojali wananchi wake, Kiufupi wakenya wamechoka
 
Noma sanaa, nmeusikiliza wote na kusoma subtitles.
Ni lugha gani anatumia hapo
 
Huu wimbo unaimbwa kwa lugha ya kikuyu na tafsiri yake hapo chini ni kiingereza lakini naona huelewi yeyoye Kati ya hizo mbili.
Wakenya wamechoka ni kweli na wanaifanya wazi wazi kwa nyimbo na hata kwenye social media.

Huyu hatapotezwa Kama Ben Saanane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…