Ukisikia Kenya sio nchi ila ni mkusanyiko wa makabila makubwa kukandamiza madogo ndio huko ujioneeKila wizara ina wakikuyu wa kushato, mjaluo ni mmoja tu ilihali ndio waliosoma zaidi.
Dah wakikuyu in hatari sana
Kwn makonda kasoma[emoji23][emoji23]Kila wizara ina wakikuyu wa kushato, mjaluo ni mmoja tu ilihali ndio waliosoma zaidi.
Dah wakikuyu ni hatari sana
Na wewe ni mkale au mkikuyu?Haya Mambo tushazoea,, Kwanza rais hutoka Kwa wakikuyu ama wakale[emoji55]
Huu wimbo ukiusikia ndio utajua Tanzania ni nchi amazing sana
Noma sanaa, nmeusikiliza wote na kusoma subtitles.Huu wimbo ukiusikia ndio utajua Tanzania ni nchi amazing sana
Huu wimbo unachochea chuki machafuko mauaji ya kikabila na huko Kenya umekua on trending
Lakini ukiusikuliza vizuri utaona namna Kenya ilivyo ya hovyo kwenye uongozi ni Taifa corrupted number 1 duniani na viongozi wasiojali wananchi wake, Kiufupi wakenya wamechoka
Nigawie papa pande sh ngapi nikulete dar ushangae shangae kidogoUnakwepa mada mada ya zee la kisukuma[emoji23][emoji23]
Huu wimbo unaimbwa kwa lugha ya kikuyu na tafsiri yake hapo chini ni kiingereza lakini naona huelewi yeyoye Kati ya hizo mbili.Huu wimbo ukiusikia ndio utajua Tanzania ni nchi amazing sana
Huu wimbo unachochea chuki machafuko mauaji ya kikabila na huko Kenya umekua on trending
Lakini ukiusikuliza vizuri utaona namna Kenya ilivyo ya hovyo kwenye uongozi ni Taifa corrupted number 1 duniani na viongozi wasiojali wananchi wake, Kiufupi Wakenya wamechoka.