watanzania washaanza uswahili wao tena! come on guyz!!!!
.......
Tusisahau kwamba katibu mkuu wa ccm yupo Kenya
.
Unayasema haya kwa mamlaka ya nani?
Mkuu Rev Masanilo hadi hapo kidogo naomba nitofautiane na wewe juu ya madai ya kuzidiwa kwetu ubingwa kwenye IT, laa hasha!!!
Naam, nadiriki kukugomea katika madai yako hayo kwani kwa mujibu wa taarifa za nyuma ya pazia ni wataalam wetu wa hapa hapa nyumbani ndio walioongoza safu juu ya hili nchini Kenya lakini hawakujua kwamba kila kitu kilikua kikinaswa mawinguni BABU ZAO DUNIANI katika michepuo kama haya.
Habari ndio hiyo; wale mabingwa wa kupinga kila kitu karibuni tena kama hamtoona orodha zima mahala katika muda mwafaka.
........
Du !!!Wizi wa kura computerised!
......
Na hasiposhinda wamuwaishe The Hegue haraka sana maana alitaka kugushi matokeo ya uchaguzi.akitangazwa UHURU tu kmenuka kenya....best wishes raila
raila kaanza kukimbiza ile mbaya!
Naona wafuasi wa odinga mmeanza kutengeneza sababu ili mkishindwa muingie road
......
Rumors ni kuwa hackers walifanya kazi hii kutoka nje ya nchi (na nje ya Africa)!
kama kawa kama dawa. Odinga lazima awe rais. marafiki washajumlisha kura na kukuta kashinda kwa asilimia 62.
Uwezo Tunao,Mkuu Rev Masanilo hadi hapo kidogo naomba nitofautiane na wewe juu ya madai ya kuzidiwa kwetu ubingwa kwenye IT, laa hasha!!!
Naam, nadiriki kukugomea katika madai yako hayo kwani kwa mujibu wa taarifa za nyuma ya pazia ni wataalam wetu wa hapa hapa nyumbani ndio walioongoza safu juu ya hili nchini Kenya lakini hawakujua kwamba kila kitu kilikua kikinaswa mawinguni na wale MA-BABU ZAO DUNIANI katika michepuo kama haya.
Habari ndio hiyo; wale mabingwa wa kupinga kila kitu karibuni tena kama hamtoona orodha zima mahala katika muda mwafaka.
Kumbe Kibaki akuja Kuaga alikuja na Agenda ya Kushinda uchaguzi.
Tangu lini Dar es Salaam ikawa ni nje ya Bara la Africa??