Ukabila ndio umembeba Kenyatta, si sera!

Ukabila ndio umembeba Kenyatta, si sera!

Hata mimi nimesikia hivyo na wamesema zile kura zote zilizoingia jana kwa electronics nazo zitaingizwa manually kwa kusubiri wale wakuu wavituo vyote wawakilishe hardcopy za results!! Kwishney uhuru!! Yale yale ya vijana wa vodacom kujichimbia Seaview 2010 kuchakachua!! Nafikiri mbinu hii Kenyata kaipata Tanzania!! Limeumbuka!! Na Kenya Independent Election Commission haina mchezo! Hata sisi 2015 kukiwa na tume huru mambo yatakuwa mazuri na hapo hapo ni lazima tuwe na kituo cha friends of Chadema ili wajumlishe fasta.

kwa kukujulisha tu mmoja wa wahusika n mtanzania
 
Mimi iliyonishtua mapema ni hii hapa kutoka gazeti la daily nation;

Raila Odinga
Twitter followers: 117,118
Facebook likes: 1,716

Uhuru Kenyatta
Twitter followers: 109,375
Facebook likes: 436,696
 
Sio sababu hiyo
wakenya waacheni wansiasa wanatafuta sababu please wasiwaingize kwenye vita ya wenyewe
 
Kazi imeanza, nadhani mbinu chafu kama hizi zinachafua jitihada za kushindana kwa haki na kupata mshindi wa halali bila mizengwe.Tunawaombea ndugu zetu hawa wawe nasubira katika kumpata kiongozi wa halali.
 
inaleta aina ya kizunguzungu lakini lisemwalo lipo by any means kama halipo linatujia 2015 hapa tz
 
wameanza kuesabu kura kwa mkono.mambo yameanza kubadilika ghafla
 
Big up kwa meneja wa google east africa! The guy is very smart n patriotic!
 
hii ni kazi ya kinana!..nakumbuka ofisi yao maalumu ya IT iliyokuwa undali str. wanajukwaa mnamkumbuka miraji kikwete na rafiki zake toka india!..AIBU
 
Two People have been arrested in regard to Hacking of IEBC

Sources indicate that the I.E.B.C realized that their system had been hacked into. The programmer was given instruction to input a permanent difference between UHURU and RAILA with more than 400,000 votes.

It had been realized that it could not be changed under any circumstances (after being programmed), unless they posted the data a fresh. 2 guys have been arrested, while 2 others are on the run.

There is a lot of scrutiny at BOMAS and people are on high alert. Any form of inaccurate tally is put aside and INDIVIDUALS involved personally HELD RESPONSIBLE

Having detected this at around 3pm yesterday, the Commission had no option but to fully go manual. It would have been worse had it not been detected.

The figures are already changing. Poll results the main TVs are showing is old data.


What makes our developments go down, it is because of foolishness. why should hack the system just because of honoring or favoring someone? Let democracy take its time and its part bhana. It doesn't bring sense that the person you are trying to fight for the presidential post through cheating will bring change in your country. May be he will use the same way to steal your natural resource for his own benefits because he will be used to.

I wish you patience and tolerance my neighbor Kenyans.
 
No wonder. Kura za Uhuru zilijump ghafla halafu alama za Uhuru zilikuwa zinapanda bila kushuka.
 
Mi naona hata hapa kwetu Tz tujifunze na tusikubali mfumo huo wa kujumlisha kura 2015, bali twende kwa hardcopy!
Afadhali tumeyaona Kenya kabla ya 2015.

Mnaonaje wadau?
 
Chadema at work!

Wamempelekea Odinga msaada lakini ndio hivyo tena lakuvunda...
 
Back
Top Bottom