Ukabila ndio umembeba Kenyatta, si sera!

Hata Uhuru Kenyatta anatakiwa kukamatwa , tena Haraka sana , na huyo Kinana achunguzwe kama aliwezesha huo mchakato au alitumbukia kwa namna moja au nyingine , SHAME ON YOU UHURU KENYATA !! , SHAME ON SAFARICOM !!
 
Kiukweli hata mimi nilishangazwa sana na tofauti ya kura iliyokuwepo kwa muda mrefu. Kila matokeo yalipokuwa yanatoka kulikuwa na constant difference ya laki tano na themanini na kitu au tisini hivi.

Huyo hacker/programmer ni mjinga sana! Kile kitendo cha ku-maintain tofauti ya kura ile ile kwa muda mrefu hata mtu ambaye ana uwelewa mdogo kwenye fani ya IT atagundua kwamba kuna kitu pale! waswahili usema za mwizi ni arobaini lakini naona huyu imechukua a millsecond kushtukiwa.
 
Manual wanatangaza sahizi, Uhuru ana lead kwa takribani laki moja
 
mbona unaogopa kuliandika jina hebu nitumie kwenye sm niliandike vizuri au kati ya walionunua mtambo wa kuingilia mawasiliano ya viongozi wa chadema..

mtambo wa kuingilia nishati ya chadema
 
Mpwa watake radhi tume
haawa kwa taarifa yako ndio waliobonyewa na mtu kunawanyoko anafanya upuuzi wake kwenye safaricom
wakatangaza mitambo imegoma twende manual nini kuchelewa bana tanzania tunapata rais after wiki mbili nini kenya kupata wenu kihalali mwezi potelea pote ...sasahivi unaambiwa kuna timu inavuka mpka akuelekeaa kenya kuuliza nni kimetokea nini cha kufanya chezea supersport weweeeeeeee....ramossssssssssss ramosssssssssssssss ramosssssssssssssssssss haaahaaaaa chrsitina hapa anaongeza la pili ndio kinamchotokea kenyata wengi msishangae matokeo yajayo aka halisi kama una nyumba kenya na uko tzei ii kapangishe kabisa kabla ya matokeo
 

ikulu ya nchi gani unayoongelea kuwa mahala patakatifu? Dunia hii inaweza isiwepo lakini kwa afrika haipo na haitakuwepo.
 
Kimsingi hacking inawezekana kabisa maana watu so siku hizi ni watundu mno!
Upande wowote unaweza jaribu mchezo mchafu huu na naipongeza Tume ya uchaguzi inayodhihirisha umakini wa hali ya juu kabisa.
Kwa hili endapo litafanikiwa Kenya itakuwa Mwalimu wa dunia nzima pamoja na Marekani ambako kuna historia ya uchakachuaji wa kura zilizomwingiza ikulu Mstaafu Bush.
Tume ya uchaguzi ya Jaji Makame itaingia kwenye vitabu vya Historia kama Tume ya ovyo kuliko zote katika nchi hiii na labda bara letu kwa kundi walivyokubali kutumiwa na wanasiasa wa chama tawala (CCM) kama karatasi za chooni!
 
duuh Kenyatta lazima ashindwe kwa gharama yoyote ili aweze kukwepa mkono wa ICC atatumia utajiri wake wooote kushinda hili.
 
usifuatilie matanagzo ya kwenye tv zao ni uongo huo IEBC wameanza upya majibu yote mtayapata ijumaa asubuhi. asante
 
Results as of now due to recounting.

Odinga: 69.7% (108,805)

uhuru: 27.5% (42,966)

Nilikuwa nashangaa sana, pamoja na ukabaila(uporaji na umiliki ardhi) wa Uhuru Kenyata, bado wakenya wanampigia kura nyingi hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…