Ukabila ndio umembeba Kenyatta, si sera!

Kama hawana nguvu kwa nini unawaruhusu wakuamulie? chuki hiyo ni ya nini wamekufanya nini wewe? Usianze kutukana mvua eti ndiyo maana hukuvuna wakati hukulima!
Wewe ni Mzungu? Mbona umeumia kihivyo mkuu? Nisamehe kwa bure ila ukweli unabaki kuwa sasa hivi hamna jeuri tena Vi-China vimewashika pabaya!!!

Ureno sasa hivi vijana wanakimbilia Msumbiji na Angola, hiyo taarifa unayo? Uchumi uko hoi bin taaban!!
 

The 2009 census figures give the ethnic composition as follows (out of a total population of 38.6 million): Kikuyu 17%, Luhya 14%, Kalenjin 13%, Luo 10%, Kamba 10%, Kisii 6%, Mijikenda 5%, Meru 4%, Turkana 2.5%, Maasai 2.1%. About 9% of population consist of smaller indigenous group below 1% each, and Non-African groups (Arabs, Indians and Europeans) are estimated to total to about 1%.

Source: Demographics of Kenya - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Very true! Uhuru Kenyatta rode on the support from the Kikuyu and Kalenjin to hammer his way through this elections. All the same it is very unlikely that things will change anytime soon. This is his to loose.
 
Ajabu uchaguzi wanachaguana KENYA,Tanzania wanabishana kwenye jf,ina maana Watanzania ndio wanauchungu na uchaguzi yetu kuliko KENYAN? Mbona nakuwa wambea wambea hamna kazi za kufanya nini?
 
Unathibitisha vp kuwa Odinga hakubebwa na suala la ukabila?
 
Mkuu mbona umesepa jumla wala hutaki tena kuchungulia chungulia humu? Uliahidi utanitafuta!!!

Tunaendelea kumkandamiza uncle wako ile mbaya. Sasa hivi kapigwa gap la kama kura laki 7 hivi sijui atazikomboaje hizo?

UHURU ATOSHA!!
Mkuu nimesalimu amri! Ukiona kimya ujue ninaomboleza he he hee! Lakini haikuwa kazi rahisi, kwani hiyo 50.03% ilikuwa ni Mungu wake tu, bila kura 4,100 za Uhuru uchaguzi ungerudiwa. Hongera zake na zenu!
 
Mkuu nimesalimu amri! Ukiona kimya ujue ninaomboleza he he hee! Lakini haikuwa kazi rahisi, kwani hiyo 50.03% ilikuwa ni Mungu wake tu, bila kura 4,100 za Uhuru uchaguzi ungerudiwa. Hongera zake na zenu!

Pole sana Mkuu!

Mwambieni jamaa yenu akubali kushindwa maana hiki kipigo hakikuwa cha kawaida, kuna kipindi mkuu mlipigwa gap la mpaka kura milioni 1.1 nikawa namhurumia tu RAO. Ila sasa urais kwake ndo kwaheri maana mpaka tukarudi tena miaka mitano ijayo atakuwa na zaidi ya miaka 70, sijui kama wa-Kenya watakubali tena kuchagua mzee kiasi kile. Sijui kama ataweza kuja kumshinda Uhuru tena hiyo miaka 5 ijayo.

Poleni sana na ugulia maumivu taratibu Mkuu!! Kosa alilolifanya ndugu yenu ni kukorofishana na Ruto, pengine kura za Karenjins zingembeba!!
 
..

Mkuu mbona makabila ya akina Muite, Karua, Kenneth na Mudavadi hawajawapigia wagombea wao? Hivi wakikuyu ni asilimia ngapi Kenya? Sidhani kama ni 50% +1.
 
Kama ni ivo ukwelikitugani, Magufuli afuata nini Kenya kwenye uzinduzi wa kampeni za Raila?
 
Last edited by a moderator:
Kama ni ivo ukwelikitugani, Magufuli afuata nini Kenya kwenye uzinduzi wa kampeni za Raila?
Magufuri na Agwambo ni Comrades. Hata Magufuri alipofiwa Baba yake Mzazi, Agwambo alikuja Kule Chato na Mawaziri wenzake toka Kenya kwenye Msiba..so u can imagine.!!
 
Last edited by a moderator:
hakuna mfumo wowote wa IT ambao watu wakitaka kuuchakachua watashindwa. inahitaji tu dhamira, nyenzo na maarifa. then kila kitu kinakuwa compromised.

kutegemea mfumo wa IT bila kuwa na njia za kuhakikisha unafanyaje kazi na kuhakikisha unafanya kaz ipasavyo ni ujinga. ni makosa ya raila na timu yake kukubali mfumo ambao hawana uwezo wa kuangalia kama unafanya kaz inavyotakiwa ama vipi. au waliona wakiendesha zoezi manually watachekwa?
 
hakuna mfumo wowote wa IT ambao watu wakitaka kuuchakachua watashindwa. inahitaji tu dhamira, nyenzo na maarifa. then kila kitu kinakuwa compromised.

kutegemea mfumo wa IT bila kuwa na njia za kuhakikisha unafanyaje kazi na kuhakikisha unafanya kaz ipasavyo ni ujinga. ni makosa ya raila na timu yake kukubali mfumo ambao hawana uwezo wa kuangalia kama unafanya kaz inavyotakiwa ama vipi. au waliona wakiendesha zoezi manually watachekwa?
 
All the best Kenyata ila sasa Kenya inakuwa inchi ya kifalme baba na mwana kuwa maraisi.
Odinga kubali yaishe maana mara ya 3 sasa unaangukia pua usikute hukuandikiwa kuwa raisi wa Kenya.
 
Unathibitisha vp kuwa Odinga hakubebwa na suala la ukabila?

hakika hata odinga kabebwa na kura za waluo na kabila la kalonzo kama vile kenyatta alivyobebwa na kura za wakikuyu, wakalenjini, wameru na kabila za aina hiyo zikiwa topped up na za hapa na pale. inaelekea pia waliompigia kura kenyatta walijitokeza kwa wingi sana kuliko wale wa kina odinga. kinachosikitisha kwa baadhi ya makabila kenya KUJIAPIZA kutawala daima na kamwe kutoruhusu kabila lingine kutawala hata iwe kwa kuzusha mapigano - kiapo cha msituni.

kama kenya ilikuwa na wakati mzuri wa kuachana na sera ya UKABILA ilikuwa wakati mzee Kenyatta akikaribia kung'atuka na kumwachia mwanasiasa machachari na mwenye akili sana TOM MBOYA ambaye alithubutu kuwa mbunge ndani ya wakikuyu enzi zile za giza kabisa za ukabila. lakini Tom aliuwawa (assassinated) mchana kweupe jumamosi moja ya 1969. na wakati huo gumzo lilikuwa huyu Tom alikuwa dangerous kwani angeteka nyoyo za wakenya akawa rais - cheo ambacho ni "teule" kwa kabila fulani - na tetesi ambazo sio rasmi ni mauwaji yaliongozwa na mzee mwenyewe akipata ushauri wa karibuu toka kwa mzungu mweusi Charles.

Kenyata Jnr, rais mteule kama kenya imo moyoni mwake ana wakati mzuri wa kuileta kenya pamoja na ambayo itaendelea kuuvunja ukabila maana kizazi kijacho cha kenya sio lazima kuwa kitakuwa na mambo ya kipuuzi haya ya ukabila. ni rahisi kwa kenyata kuanza kuuondosha ukabila kama vile nyerere akiwa mkristo aliweza taifisha shule za wakristo ili kuleta utaifa ambapo rais mwislamu ingemuia vigumu kudiriki kufanya kitu kama hicho.
 
Wewe ni Mzungu? Mbona umeumia kihivyo mkuu? Nisamehe kwa bure ila ukweli unabaki kuwa sasa hivi hamna jeuri tena Vi-China vimewashika pabaya!!!

Ureno sasa hivi vijana wanakimbilia Msumbiji na Angola, hiyo taarifa unayo? Uchumi uko hoi bin taaban!!

Wewe sasa wamekufanya nini? Jifunze wakati na mahali pa kutupia mawe! Usichukie watu kwa shida zako na kufuat mikumbo. Pleas show some sense of maturity na understanding.
 

Well said...mimi ninaamini kuwa Uhuru Kenyatta atafanikiwa kujenga umoja, maana hata katika team yake ya campaign wajaluo walikuwemo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…