Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,314
- 7,149
Wewe ni Mzungu? Mbona umeumia kihivyo mkuu? Nisamehe kwa bure ila ukweli unabaki kuwa sasa hivi hamna jeuri tena Vi-China vimewashika pabaya!!!Kama hawana nguvu kwa nini unawaruhusu wakuamulie? chuki hiyo ni ya nini wamekufanya nini wewe? Usianze kutukana mvua eti ndiyo maana hukuvuna wakati hukulima!
Ureno sasa hivi vijana wanakimbilia Msumbiji na Angola, hiyo taarifa unayo? Uchumi uko hoi bin taaban!!