Ukabila ndio umembeba Kenyatta, si sera!

Naona kila mtu analikwenda kuombewa, kila lugha ilitumika. Ikulu inahitaji mbinu


[video=youtube_share;G0WfPq8okno]http://youtu.be/G0WfPq8okno[/video]
[video=youtube_share;yqlfYFcWrgg]http://youtu.be/yqlfYFcWrgg[/video]
[video=youtube_share;gVUs5b0QtfE]http://youtu.be/gVUs5b0QtfE[/video]http://youtu.be/xhZIcm9qcQ4

Uhuru Kenyatta Exclusive Interview - Part 1 - YouTube
 


Siri ya Ushindi kwa Mheshimiwa Uhuru ya bainika ya kuwa aliweka Mungu mbele kabla ya kwenda kwenye kampeni yeye na mshirika wake William Ruto walihakikisha wameenda kanisani kuomba Mungu.

Jambo muhimu kwa wanasiasa wetu ni kuacha kutegemea nguvu za wanadamu katika kutawala bali wamtegemee Mungu na wawe waombaji


Mheshimwa William Ruto akisifu Mungu

Mke naye hakuachwa nyuma katika kusifu Mungu

Wkati wa unyenyekevu

Kwaya ikihudumu moja ya mikutano ya kampeni hakuna cha mziki wakizazi kipya hapa wala tiot


Wakipokea baraka za mwisho wa ibada
 
Kwani Odinga nae hakwenda kanisani?
 
Wahaya wanasema "Mungu njuna naiwe otao agawe" maana yake Mola nisaidie huku na wewe unaongeza juhudi binafsi,ukisali kisha ukabweteka hizo sala ni bure.
 
Bangoo

Yawezekana alienda lakini Mungu hujibu maombi ya mtu kutokana na muda na nguvu aliyowekeza kwa Mungu na sawasawa na mapenzi yake aliye juu ya mfalme zote
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo walipoteza pesa bure kwenye kampeni,kumbe angeweza kwenda zake kanisani na mambo yangekua safi.
 
Hivi hapa TZ ukipiga kwaya kila kabla ya kampeni ndugu zangu wachinjaji watakupa kura?

Astaghaflulai!!!!!!
 
Tajiri kuuona ufalme wa mbingu ni sawa na ngamia kupenya tundu la sindano
 
Binafsi nakerwa sana nadhani hata nyie wenzangu ambao mnamwamini Mungu kama mimi ninavyomwamini, pale viongozi wetu waliowengi wanaingia na kukaa madarakani kwa kutumina nguvu za giza, ni aibu kweli. Mungu wetu naomba atuepushe na hali hiyo kwenye kampeni na uchaguzi wa 2015.
 
Wewe mleta uzi umeongea na Mungu kakuthibithishia kwamba hawa jamaa walimweka mbele Yeye,kwa maana Mungu hupokea ibada ya mtu kutoka moyoni Hebr.4:12,na Mungu siku zote anahukumu nia.Watu,kwamba walikwenda ama wanakwenda kanisani haimaanishi wamemtanguliza Mungu mbele,this is so tricky.Watu hupenda kutumia makanisa kama coverup ya ulterior motives zao.Acheni haya mambo atuhukumie Mwenyewe with time itafahamika tu.
 
Nonesense,wapelekee adolescents hii hoja mbovu kabisa.. hata kama ningeliishia STD V bado ningelipinga huu ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…