Ukabila ndio umembeba Kenyatta, si sera!

Ukabila ndio umembeba Kenyatta, si sera!

Kama hakuna sababu za msingi kwa nini yacheleweshwe jamani watu wanataka kuona uhesabuji wa kura ulio makini na siyo uchakachuaji
 
Eti viongozi wa tume? mbona sasa hii kadhia nyingine inataka kuzuka ina maana wamezidiwa na usingizi wameenda kulala ili asubuhi waje kuendelea na zoezi ama?ndio nini hiki....
 
Eti viongozi wa tume? mbona sasa hii kadhia nyingine inataka kuzuka ina maana wamezidiwa na usingizi wameenda kulala ili asubuhi waje kuendelea na zoezi ama?ndio nini hiki....

Unajua hawa jamaa wa tume waliwapa watu matumaini kwa kuleta matokeo faster mapema, sasa for 3 hours hawajaleta update yoyote ndio watu wanaanza kushtuka maana kuna vifaa vya gharama wamenunua ili zoezi liwe faster, ila mwenyekiti anasema vifaa vingine vilikuwa havijachargiwa battery.
 
Ochieng alishawahi kuandika akisema making love all the way to state house- kwamba Kenya huoi/kuolewa tu bali unaoa na kuolewa na mtu wa kabila lako kuhakikisha kwamba unaongeza wapiga kura wenu ili ikifika msimu wa uchaguzi mnaingia ikulu teh teh teh hiyo ndiyo Kenya. Pamoja na katiba nzuri bado wamerudi kule kule.
 
Kuna uwezekano mkubwa kuwa CORD wameshashindwa huu uchaguzi. Hili tamko lao linaloendelea sasa hivi wanaongea kama chama cha upinzani tayari. Same stories tulizozoe kuzisikia bongo.
Kiujumla ni kwamba cord kama wameshayakataa matokeo.

wanaomba explanation wanasema "otherwise results of this election will be in serious doubt". Na kuna sehemu kura zinaendleea kupingwa wakati ni after midnight.
 
Kuna uwezekano mkubwa kuwa CORD wameshashindwa huu uchaguzi. Hili tamko lao linaloendelea sasa hivi wanaongea kama chama cha upinzani tayari. Same stories tulizozoe kuzisikia bongo.
Kiujumla ni kwamba cord kama wameshayakataa matokeo.

wanaomba explanation wanasema "otherwise results of this election will be in serious doubt". Na kuna sehemu kura zinaendleea kupingwa wakati ni after midnight.

Inaonekana CORD walimchukulia poa Uhuru, wanakuja kushituka tayari kura zilishapigwa, kuna dalili ya CORD kushindwa maana gap linazidi kuongezeka, sa hivi kuna gap la karibia laki 3.
 
Inaonekana CORD walimchukulia poa Uhuru, wanakuja kushituka tayari kura zilishapigwa, kuna dalili ya CORD kushindwa maana gap linazidi kuongezeka, sa hivi kuna gap la karibia laki 3.

Halau turnout siyo kubwa kama ilivyotegemewa. Kuna sehemu turnout ni only 4% nyingine 0%. Kwahiyo hapa inaonekana kura zote hazitazidi milion 5, inagwa waliojiandikisha ni mil. 14.
 
Halau turnout siyo kubwa kama ilivyotegemewa. Kuna sehemu turnout ni only 4% nyingine 0%. Kwahiyo hapa inaonekana kura zote hazitazidi milion 5, inagwa waliojiandikisha ni mil. 14.
Mbona watangazaji wanasifia kwamba turnout ilikuwa overwhelming? mimi nikajua itakuwa ni zaidi ya 95%
 
Inaonekana CORD walimchukulia poa Uhuru, wanakuja kushituka tayari kura zilishapigwa, kuna dalili ya CORD kushindwa maana gap linazidi kuongezeka, sa hivi kuna gap la karibia laki 3.

Hapo Raila inaonekana kapatikana, asipojiangalia ataenda kumjoin Gbagbo ambaye naye alikataa matokeo teh teh teh. Atashangaa hao hao wamarekani wanamuandalia red carpet Uhuru Muigai
 
Mbona watangazaji wanasifia kwamba turnout ilikuwa overwhelming? mimi nikajua itakuwa ni zaidi ya 95%

Matokeo yanaonyesha tofauti. Sehemu zenye turn out kubwa zilikuwa ni around 25%. Mtu mmoja kumverify kupiga kura ilikuwa inachukua mpaka masaa mawili. Yule aliyetumia 40min ndiye aliyetumia muda mfupi, so watu wengi wameondoka bila kupiga kura.
 
Wazee wa tume wameacha kutoa matokeo for more than 3 hours. cord wanalalamika kwanini matokeo yameanza kutolewa wakati kura bado zilikuwa zinapigwa maeneo mengine na wanasema hiyo imeinfluence wapiga kura. Kiujumla wanaongea kama losers tayari...
 
Kwa ujumla, uchaguzi wa Kenya umegubikwa na ukabila na hili si la kumtupia lawama mgombea mmoja tu. Odinga naye yumo humo, katika mkumbo huo huo. Anagombea si tu kwa sababu anadhani anaweza kuiongoza Kenya, bali pia kwa sababu anadhani ni wakati wa Wajaluo kuongoza. Bado huo ni ukabila na huo ndio pia unaomfanya naye asipate kura.

Chama chake kimetoa tamko baya sana muda mchache uliopita. Japokuwa mambo waliyoyaongea mengine yana mashiko, nadhani kwa ajili ya amani na usalama usingekuwa wakati wa kutoa tamko kama lile. Lile tamko laweza kuwachochea watu wakaanza machafuko.

Siasa za ukabila zinaletwa sana Tanzania na Serikali ya CCM. Ngoja waendelee kuupalilia nchini kwetu tuone nasi watatufikisha wapi. Tumwombe Mungu, siasa za sasa zimekuwa chai ya moto, ukinywa lazima upulize. Zinachoma
 
Kwa ujumla, uchaguzi wa Kenya umegubikwa na ukabila na hili si la kumtupia lawama mgombea mmoja tu. Odinga naye yumo humo, katika mkumbo huo huo. Anagombea si tu kwa sababu anadhani anaweza kuiongoza Kenya, bali pia kwa sababu anadhani ni wakati wa Wajaluo kuongoza. Bado huo ni ukabila na huo ndio pia unaomfanya naye asipate kura.

Chama chake kimetoa tamko baya sana muda mchache uliopita. Japokuwa mambo waliyoyaongea mengine yana mashiko, nadhani kwa ajili ya amani na usalama usingekuwa wakati wa kutoa tamko kama lile. Lile tamko laweza kuwachochea watu wakaanza machafuko.

Siasa za ukabila zinaletwa sana Tanzania na Serikali ya CCM. Ngoja waendelee kuupalilia nchini kwetu tuone nasi watatufikisha wapi. Tumwombe Mungu, siasa za sasa zimekuwa chai ya moto, ukinywa lazima upulize. Zinachoma

Sasa ulitaka tamko lile watoe wakati gani??
 
Matokeo yanaonyesha tofauti. Sehemu zenye turn out kubwa zilikuwa ni around 25%. Mtu mmoja kumverify kupiga kura ilikuwa inachukua mpaka masaa mawili. Yule aliyetumia 40min ndiye aliyetumia muda mfupi, so watu wengi wameondoka bila kupiga kura.
40mins kuhakiki tu, hata kama ningekuwa mimi ningeweza kuondoka, ila kwa jinsi Raila alivyokuwa anajiamini nadhan alikuwa hajajiandaa kushindwa, kama matokeo yakiendelea hivi kuna hatari ya machafuko kutokea tena, inabidi hapa wakenya wawe watulivu na wavumilivu kupita kiasi la sivyo watachichanjana tena.
 
Kwa ujumla, uchaguzi wa Kenya umegubikwa na ukabila na hili si la kumtupia lawama mgombea mmoja tu. Odinga naye yumo humo, katika mkumbo huo huo. Anagombea si tu kwa sababu anadhani anaweza kuiongoza Kenya, bali pia kwa sababu anadhani ni wakati wa Wajaluo kuongoza. Bado huo ni ukabila na huo ndio pia unaomfanya naye asipate kura.

Chama chake kimetoa tamko baya sana muda mchache uliopita. Japokuwa mambo waliyoyaongea mengine yana mashiko, nadhani kwa ajili ya amani na usalama usingekuwa wakati wa kutoa tamko kama lile. Lile tamko laweza kuwachochea watu wakaanza machafuko.

Nimejiuliza hivi baada ya lile tamko iwapo cord watashinda uchaguzi watakuwa tayari kuyakubali matokeo maana yatari wameshaonyesha kutokuwa tayari kuyakubali!!!
In my view nadhani cord wameshapata taarifa kuwa wameshindwa na wanaanza kutengeneza mazingira ya kupatiwa nafasi kwenye government...
 
40mins kuhakiki tu, hata kama ningekuwa mimi ningeweza kuondoka, ila kwa jinsi Raila alivyokuwa anajiamini nadhan alikuwa hajajiandaa kushindwa, kama matokeo yakiendelea hivi kuna hatari ya machafuko kutokea tena, inabidi hapa wakenya wawe watulivu na wavumilivu kupita kiasi la sivyo watachichanjana tena.

Angalia rafiki yangu mmoja mkenya alivyoandika "i've voted in a record 40min in city primary ngara....well done iebc"
Sasa huyu alienda katika sehemu ambayo electronic device ilikuwa inafanya kazi. Wale waliokuwa kule battery down ni zaidi ya masaa mawili.

Angalia wengine wanavyosema "Things i have learnt during this voting day.
1. Eat a heavy breakfast.
2. Carry an umbrella and a book.
3. Better still, be pregnant, have an infant or crutches.
4. Carry water
5. Charge your phone fully and ensure u have earplugs
and very good music.
6. Register in a station that is not too busy.
7. Have a first name that is.not so common......what was your experience?"

na huyu "If these BVR machines are not working, why did we spend so much money getting them?"
 
So far hali siyo nzuri kwa Raila, lakini kwa vile mwenyewe Raila alisema ana confidence kuwa atashinda katika first round labda anajua kura zake zitatoka maeneo gani. Ngoja tuone movie itaishaje.

03:30am Uhuru Kenyatta (JUBILEE) 1,227,548
Raila Odinga (CORD) 876, 552
Musalia Mudavadi (AMANI) 62,813
 
Nimejiuliza hivi baada ya lile tamko iwapo cord watashinda uchaguzi watakuwa tayari kuyakubali matokeo maana yatari wameshaonyesha kutokuwa tayari kuyakubali!!!
In my view nadhani cord wameshapata taarifa kuwa wameshindwa na wanaanza kutengeneza mazingira ya kupatiwa nafasi kwenye government...

Uko sahihi kamanda. Lile tamko linaonyesha ni kwa sababu wanaonekana kushindwa. Japokuwa sikubaliani na utaratibu wa kurusha matokeo, ikiwa kuna maeneo bado kura zinapigwa, sikubaliani na namna ambavyo CORD wametoa malalamiko yao kwa kuonyesha kama wamehujumiwa. Ikiwa mpaka sasa wameshakufa watu zaidi ya 22, kuna uwezekano kuwa tamko lile linaweza kuwachochea wapuuzi wachache na kuanza kupigana mapanga tena
 
Uko sahihi kamanda. Lile tamko linaonyesha ni kwa sababu wanaonekana kushindwa. Japokuwa sikubaliani na utaratibu wa kurusha matokeo, ikiwa kuna maeneo bado kura zinapigwa, sikubaliani na namna ambavyo CORD wametoa malalamiko yao kwa kuonyesha kama wamehujumiwa. Ikiwa mpaka sasa wameshakufa watu zaidi ya 22, kuna uwezekano kuwa tamko lile linaweza kuwachochea wapuuzi wachache na kuanza kupigana mapanga tena

Mkuu,
hizi habari za kufa watu zimeandikwa wapi tena??? sijazipata zaidi ya zile za Mombasa za wale jamaa wa MRC.
 
Back
Top Bottom