Ukabila ndio umembeba Kenyatta, si sera!

Ukabila ndio umembeba Kenyatta, si sera!

Ukabila umezidi competence..
I still am sure that Uhuru is too young for that office.
I stand to be corrected.


I have serious reservations about your position about Uhuru; the guy is 51yrs old!!

Julius nyerere became premiere of Tanganyika at toddler age of 39; JF Kennedy became US president at 43yrs and more recently Obama was 47 in 2008 when he became president; the late Hogo Chaves was 44yrs old when he became president of Venezuela; the late Ghadafi took the mantle in Libya at 29yrs, captain Thomas Sankara was 33yrs when he became head !!!

Is it really the age or vision and mission for the country when one aspires to becaome president of his or her country!!
 
Mshandi kwa vyovyote atapatikana...tunachoombea ni kuwa Kenya ibaki kuwa moja na siyo na machafuko ya 'damu'. Na miongoni mwa mambo tuliyojifunza kutokana na uchaguzi huo ni kuwa kumbe kutumia Hi-tech si suluhisho la wizi wa kura ona jamaa wamelazimika kurudia enzi za ujima kwa kuhesabu kwa mikono...lakini kizuri ni kuwa Vyombo vya habari vinapokuwa na ajenda ya pamoja ya kuhamasisha amani inawezekana kuliweka taifa libaki kuwa moja! ..Lakini wadaku wetu wa bongo tunaweza kuwapiga ribit wasizushe ya kuzusha katika kipindi cha uchaguzi?....Just thinking aloud!
 
Hapo kwenye red! Ohaya na gwane ong'wise!

Yaani jamaa anapewa mpaka kura 85 mara 97 kati ya maelfu ya kura? Kama siyo ukabila ni nini hicho? Kwa Wakikuyu unakuta RAO anapata mpaka kura 3,000. Hapo nakubaliana na wewe Wajaluo ndo wana ukabila sana. Hii kuna uzi siku moja nilichangia humu ndani kwamba wanaomwunga mkono RAO hawawajui vizuri Wajaluo, kuna shirika moja aliachiwa Mjaluo huko Kenya ambalo lina ofisi hata hapa TZ, jamaa alihakikisha nafasi zote za maana anawaondoa wale wa makabila mengine na kujaza wa kabila lake. Sasa hivi shirika limekuwa la Wajaluo, hata consultancy ambazo walikuwa wanapata hata makabila mengine sasa hivi hawazipati wanapewa Wajaluo tu!!

Chezeo Luo Union wewe!!!
Ni kweli watu wengi wanaona ukabila ni wakikuyu tu hawana ukabila wa wajaluo.
 
Sasa hivi Wazungu wanaogopa mno kuweka vikwazo vya ovyo ovyo, Vi-China vinatishia maisha yao, maana wanajua fika kama nchi husika ikipata support ya China itakuwa imekula kwao!! Acha wananchi wampe Uhuru tuone jeuri ya wazungu, Tumb..ff zao wamezidi kuamua mambo ya nchi zingine huku nao uchumi wao uko mahututi!!
Mkuu,
hapo kwenye RED hizo ndo mbinu zao za kuwawezesha kuendesha nchi zao.Tatizo Kenya imewekeza sana kiuchumi katika nchi za west.Kuanza tena China wanaweza kufanya mark time.
 
Hakuna mshindi, uchaguzi unarudiwa. Kumbuka Uhuru amepata 49.5% na Raila amepata 44.5%. Hakuna aliyepata 50%+1vote kama katiba inavyosema. Ngoma bado.[/QUOTE]

Sio kweli ndugu at 1525hrs Uhuru Kenyatta 5.O5million, Raila Odinga 4.46million,total votes 10M, rejected around 93000 SOURCE www.nation.co.ke
 
Jamani tumefika lini huku? hili dudu tulichekealo likituuma tusilalamike, tuangalie credibility mambo ya ukanda, ukabila, udini n' so forth tuachane nayo hayana maana we will be the looser.
o

Ni kweli piper umesema jambo jema. Ni jambo baya la kuhuzunisha na wala halitakiwi kuchekewa wala kucheza cheza nalo. Lakini nimemention kama anagalizo tu kwa yanayotokea TZ na duniani pale wanapokubali kuwapa watu uongozi wa kitaifa kwa misingi iliyo nje na uwezo kama jk. Matokeo yake ni kuongoza kwa kufuata itikadi zake ambazo tayari ni potofu na mitazamo isiyojali uma wa wananchi na kwa kuwa mtu yuko short minded anadhani yeye ni kiongozi wa watu wa makundi yake tu kama vyama, dini, ukabila n.k na kusahau kwamba anatakiwa kuangalia masuala kwa mtazamo wa serikali ya nchi ambayo inajumuisha kila aina ya binadamu walio ndani na nje ya mipaka ya ki jiogoraphia.

Tunaomfano wa wazi kwa jk alipoifikisha nchi hii kiasi kwamba anasababisha gharama kubwa za maisha ya watu wengine katika kushughulikia mioto aliyoiwasha yeye mwenyewe aidha kwa mwakusudi ama kutokujua kulingana na uwezo wake mdogo.

Kwa ufupi Piper tuko wote. Kinachotakiwa ni kutorudia makosa ya kuchagua watu wa aina ya jk ili turekebishe nchi yetu ingawa najua kuirudisha katika hali y a kawaida ipo kazi.

RIP ccm.
 
Kwa weledi sio vizuri ku attack personality za watu ni bora tukajikita kwenye mjadala.Is too low for you to behave this way!


MODS, please do not accommodate personality attacks here. This should be an educative, informative, rehabilitative and entertaining forum. Do not allow it to be a firm of wild creatures who posses no clearly defined norms to conform.

Personality attacks should not be directly admitted unless are brought by inevitable roots.

TAFADHARI TUANZENI KUFANYA HOJA KWANZA NA SI MATUSI MAKAVU MAKAVU. TUTAHARIBRU FAMILIA YETU NZURI IITWAYO JF.
 
Alafu huwa nawaza yaani kama kweli UHURU ni culprit wa yale mauaji iweje alambe kura zote izo
Something ficious apa au ndo huo ukabila?



Wakenya ndo wanajua zaidi yaliyowasibu 2007, usishangae kinachoendelea labda aliyenyimwa kura ndo Culprit Original.
 
Sasa hivi Wazungu wanaogopa mno kuweka vikwazo vya ovyo ovyo, Vi-China vinatishia maisha yao, maana wanajua fika kama nchi husika ikipata support ya China itakuwa imekula kwao!! Acha wananchi wampe Uhuru tuone jeuri ya wazungu, Tumb..ff zao wamezidi kuamua mambo ya nchi zingine huku nao uchumi wao uko mahututi!!

Kama hawana nguvu kwa nini unawaruhusu wakuamulie? chuki hiyo ni ya nini wamekufanya nini wewe? Usianze kutukana mvua eti ndiyo maana hukuvuna wakati hukulima!
 
Go brother. Kenya is behind you. Acha Odinga aendeleze kelele za ukabila, sisi tunajua umechaguliwa kidemokrasia na kwa mujibu wa katiba chini ya tume huru. Odinga hana jipya bali ni tamaa tu. harambee nyayo kenyatta mbele
 
I have serious reservations about your position about Uhuru; the guy is 51yrs old!!

Julius nyerere became premiere of Tanganyika at toddler age of 39; JF Kennedy became US president at 43yrs and more recently Obama was 47 in 2008 when he became president; the late Hogo Chaves was 44yrs old when he became president of Venezuela; the late Ghadafi took the mantle in Libya at 29yrs, captain Thomas Sankara was 33yrs when he became head !!!

Is it really the age or vision and mission for the country when one aspires to becaome president of his or her country!!

Age isnt a number...it is wisdom and experience.
In comparison to Odinga, Uhuru is a toddler when it comes to being in the driving seat.
I can barely imagine him being there...
 
SIRI YA USHINDI WA UHURUKENYATTA, MSHINDI WA UCHAGUZI WA URAISKENYA 2013
1. Ukubwa wakabila lake ambalo linaundwa zaidi ya asilimia 30 ya wakenya wote.
a. Kiambu amepata kura 442,042
b. Murang’a kura264, 758
c. Nakuru 232,805
d. Kericho190,287
Hii ni idadi kubwa kabisaya kura ambazo zinazidi maeneo yote yenye ushawishi kwa Raila
2. Kuungana naRuto
Mbona husemi Raila kura nyingi amepata wapi[coast ameshinda lakini hata huko ana ndugu wengi tu]
Kinachomfanya kenyatta na ruto wapendwe ni jinsi vijana wanavyowaona [he relates to them] maoni yangu ni kuwa kweli wakikuyu karibu wote wamempigia yeye [kama vile ilivyo kwa odinaga] lakini kama ulivyoonyesha kuwa kyuks' ni asilimia 30-40 tu jee hizo nyingine amepata wapi????
Ukweli unauma lakini tukubali tu kuwa kenyatta is more apealing to the young than mzee raila ambaye yuko obsessed na uraisi na kinachompa jeuri ni support ya west lakini wapiga kura ni wakenya bwana
 
Ukabila umezidi competence..
I still am sure that Uhuru is too young for that office.
I stand to be corrected.

Siamini sana katika hilo (red hapo juu)
Labda tujiulize hapa nchini kwetu Tanzania;kwani J.K. Nyerere alikuwa na umri gani alipopata ridhaa ya kuongoza nchi yetu. Mimi nafikiri kuwa jambo kubwa ni determination ya mtu akishirikiana na system nzima ya uongozi wa juu.
 
Hakuna mshindi, uchaguzi unarudiwa. Kumbuka Uhuru amepata 49.5% na Raila amepata 44.5%. Hakuna aliyepata 50%+1vote kama katiba inavyosema. Ngoma bado.


Wamemaliza kuhesabu Kura?
hakuna dhambi kubwa hapa JF kama dhambi ya kukurupuka.
 
hivi wanao mshutumu uhuru kuhusu aridhi je babayake Odinga sikati ya watu walio jichukulia maeneo na utajiri wakati huo??
Baelezee baelezee mkuu!!

Watu hawana jipya. Mara ooh kadhulumu ardhi ya wa-Kenya, mbona wa-Kenya wenyewe wamempa kura? Inabidi tuakae kimya kabisa jamaa aende akapige kazi. RAO ana tamaa ya urais tu, pengine ingependeza hata angemwachia Kalonzo hili zigo. Sasa watu wanatarajia wakirudia uchaguzi ndo atashinda? Hapo si mpaka wale wagonjwa wasiojiweza kwenye nyumba ya Mumbi wataenda piga kura?

Uhuru nilimkubali kwenye duru ya pili ya mdahalo jinsi jamaa lilivyokuwa linajieleza kwa kujiamini!! Pamoja na kulizonga zonga na mambo ya ardhi. Kwani nani asiyejua kwamba viongozi wa mwanzo wote wa Kenya wanamilki ardhi kubwa kubwa? Wala siyo nyumba ya Kenyatta peke yake ni viongozi wote!!!

Uhuru nipigie hao jamaa, walikudhulumu tangu 2002 sasa ni zamu yako!!
 
hatukumwamini. alishinda ki-magumashi km huyo kenyata wako
 
hahahahah kwa hiyo unataka kuniambia mh pm hana huo ubavu
 
Baadae nitakutafuta unipe overall results zako, usikimbie

Mkuu mbona umesepa jumla wala hutaki tena kuchungulia chungulia humu? Uliahidi utanitafuta!!!

Tunaendelea kumkandamiza uncle wako ile mbaya. Sasa hivi kapigwa gap la kama kura laki 7 hivi sijui atazikomboaje hizo?

UHURU ATOSHA!!
 
Back
Top Bottom