Ukabila TFF: Jamal Malinzi jibu/fafanua hili kabla sumu haijaenea

Ukabila TFF: Jamal Malinzi jibu/fafanua hili kabla sumu haijaenea

Inside10

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2011
Posts
29,909
Reaction score
32,414
Well done Jamal Malinzi...

Katibu mpya wa TFF ni Mhaya,
Mkurugenzi wa sheria na utawala ni Mhaya,
Mshauri wa masuala ya kiufundi ni Mhaya,
Mwenyekiti mpya wa kamati ya maadili ni Mhaya,
Mwenyekiti mpya wa kamati ya Uchaguzi ni Mhaya
na wewe Big Boss wetu ni Mhaya...

Asante sana. World cup here we go..2018.

Source: facebook page ya.Edo Kumwembe
 
Rais -muhaya
Katibu -mkuu muhaya
Mkurugenzi wa sheria na utawala-muhaya
Mshauri maswala ya ufundi-muhaya
Mwenyekiti kamati ya maadili -muhaya
Mwenyekiti kamati ya maadili- muhaya
Nafasi nyingine hazijapatiwa watu sabb walioomba hawajakidhi vigezo na walioomba hawatakiwi kuomba tena
Kaenda bukoba kula xmass akirudi nafasi hizo kujazwa na wahaya
 
Kwa mujibu wa post kwenye wall ya Facebook ya Edo Kumwenbe inaonekana viongozi wote wa TFF waliotangazwa tarehe 24/12/2013 na Rais wa TFF Jamal Malinzi ni Wahaya, na kuna nafasi nyingine ziliombwa lakini hazipata watu kutokana na waombaji 'kukosa' sifa...

Ni vema ndugu JAMAL MALINZI ukalitolea ufafanuzi hili na pia si vibaya ukatueleza ni nani alisimamia mchakato huo wa ajira za TFF ambazo zimetangazwa muda mfupi na wahusika wamepatikana haraka sana....

Hii ndio post ya Edo kule Facebook....

Well done Jamal Malinzi...Katibu
mpya wa TFF ni Mhaya, Mkurugenzi
wa sheria na utawala ni Mhaya,
Mshauri wa masuala ya kiufundi ni
Mhaya, Mwenyekiti mpya wa kamati
ya maadili ni Mhaya, Mwenyekiti
mpya wa kamati ya Uchaguzi ni
Mhaya..na wewe Big Boss wetu ni
Mhaya...Asante sana. World cup here
we go..2018.

Na hii ni taarifa ya tarehe 24/12 ya Malinzi kuhusu viongozi wapya wa TFF;

TFF+1.PNG

TFF+2.PNG

TFF+3.PNG
 
Rais -muhaya
Katibu -mkuu muhaya
Mkurugenzi wa sheria na utawala-muhaya
Mshauri maswala ya ufundi-muhaya
Mwenyekiti kamati ya maadili -muhaya
Mwenyekiti kamati ya maadili- muhaya
Nafasi nyingine hazijapatiwa watu sabb walioomba hawajakidhi vigezo na walioomba hawatakiwi kuomba tena
Kaenda bukoba kula xmass akirudi nafasi hizo kujazwa na wahaya
Mimi sina imani na malinzi.Ukabila ni mbaya sana kama ilivyo udini PPF
 
Acha umbea naww,unapoanza kumchungua mtu kwa kabila lake n dhambi kunwa sana y usimchunguze kwa utendaj wake?
Ndo Rais huyo utake ustake unataka kuleta mawazo mfu kama ya muasisi wa Chadema aliposema tume ya Katiba imejaza Waislam tupu.....hahahahha kabla hujapost uliza watu wanaokuznguka kwanza div v ww
 
Mimi sina imani na malinzi.Ukabila ni mbaya sana kama ilivyo udini PPF
.Ungemalizia na CRDB, VETA, NFRA na kwegineko ningejua kama kweli unachukizwa na ukabila na udini lakini unaonekana ww mwenyewe ni mkabila na ndini
 
Rais -muhaya
Katibu -mkuu muhaya
Mkurugenzi wa sheria na utawala-muhaya
Mshauri maswala ya ufundi-muhaya
Mwenyekiti kamati ya maadili -muhaya
Mwenyekiti kamati ya maadili- muhaya
Nafasi nyingine hazijapatiwa watu sabb walioomba hawajakidhi vigezo na walioomba hawatakiwi kuomba tena
Kaenda bukoba kula xmass akirudi nafasi hizo kujazwa na wahaya

Wewe kama si mkabila ulijuwa je acha huwo ujinga kikubwa kazi nyie ndio wale wale hata kwenye siasa ukabila nyambafu tunaongea ukabila karne hii kimya shiiiiiiih
 
Weka majina bana ndio tujue ukweli wa hili halafu itafahamika
 
Tatizo kubwa Malinzi ameanza kulipa kisasi badala ya kupanga mipango ya kuinua soka la Tanzania,
Nakubaliana nae kumpa kazi Evodius Mtawala ni kijana mdogo lakini utendaji wake unaonekana pale Simba
 
.Ungemalizia na CRDB, VETA, NFRA na kwegineko ningejua kama kweli unachukizwa na ukabila na udini lakini unaonekana ww mwenyewe ni mkabila na ndini

yelewiii na hapo TRA mbona hampasemi jama kila ofisa ni ..............
 
Wewe kama si mkabila ulijuwa je acha huwo ujinga kikubwa kazi nyie ndio wale wale hata kwenye siasa ukabila nyambafu tunaongea ukabila karne hii kimya shiiiiiiih
Kama ni kweli hili sio la kunyamaziwa,haiwezekani shirikisho kujaa watu wa kabila moja halafu tujidai eti kuhoji sio busara!!!!
 
acha ukabila wewe. siku hizi tunaangalia utanzania siyo udini na ukabila.

ukimaliza ukabila utaanza na udini
 
kama ni kweli it's like too much Hayas, lakini tuwe na subira, tuangalie UTENDAJI. Inawezekana wahaya ndio wataikomboa soka yetu, sio mbaya. Tuwape ushirikiano 100%
 
Rais -muhaya
Katibu -mkuu muhaya
Mkurugenzi wa sheria na utawala-muhaya
Mshauri maswala ya ufundi-muhaya
Mwenyekiti kamati ya maadili -muhaya
Mwenyekiti kamati ya maadili- muhaya
Nafasi nyingine hazijapatiwa watu sabb walioomba hawajakidhi vigezo na walioomba hawatakiwi kuomba tena
Kaenda bukoba kula xmass akirudi nafasi hizo kujazwa na wahaya
Mimi niliwahi kusema malinzi ni mhuni na mwizi wa fedha watu wakanibishia, mtaipata fresh sasa
 
acha ukabila wewe. siku hizi tunaangalia utanzania siyo udini na ukabila.

ukimaliza ukabila utaanza na udini

Kwa hiyo huo utanzania upo huo mkoa tu????!!!

Tanzania ni kubwa ili huo utanzania upatikane hili la kujaza kabila moja lazima lisifumbiwe macho!!!
 
Back
Top Bottom