Ukabila TFF: Jamal Malinzi jibu/fafanua hili kabla sumu haijaenea

Ukabila TFF: Jamal Malinzi jibu/fafanua hili kabla sumu haijaenea

Rais -muhaya
Katibu -mkuu muhaya
Mkurugenzi wa sheria na utawala-muhaya
Mshauri maswala ya ufundi-muhaya
Mwenyekiti kamati ya maadili -muhaya
Mwenyekiti kamati ya maadili- muhaya
Nafasi nyingine hazijapatiwa watu sabb walioomba hawajakidhi vigezo na walioomba hawatakiwi kuomba tena
Kaenda bukoba kula xmass akirudi nafasi hizo kujazwa na wahaya

Swali: nafasi hizi anafanya uteuzi nani....rais wa TFF au kamati tendaji?

Kama ni rais na amejaza watu wa kutoka sehemu moja basi hayuko makini na hilo ni tatizo. Kama ni kamati tendaji sioni tatizo lolote ingawa questions will linger over the wisdom of the kamati tendaji.

Controversy!
 
kwani hawana sifa??..
INawezekana wana sifa.....Sema haiingii akilini....

Inakuwaje wenye sifa wanakuwa ni watu anaotoka nao sehemu moja tu?.....Mwesiga, Mtawala na kwa nini nafasi nyingine hajazijaza na kudai waombaji hawakukidhi vigezo?...Kwa nini anawaweka watu aina ya Mshangama na Madadi ambao pamoja na kukaa TFF miaka lolote hakuna lolote walilosaidia...Kwa nini asingeweka sura mpya kama lengo lilikuwa ni kuleta mabadiliko TFF....

Mwenzake Tenga nafasi kama hizi aliwaachia KPMG ama PWC(sina uhakika ni nani hasa) ambao walitangaza nafasi za kazi na kupitia majina ya waombaji ikiwa ni pamoja na kuwafanyia usaili...Na hapa ndipo walipatikana akina David Mwakalebela, Angetile Osiah, Florian Kaijage, Boniface Mgoyo Wambura na Jimmy Kabwe...Sasa yeye Malinzi kitendo cha yeye na TFF yake kutangaza ajira na kuwafanyia usaili na kutangaza waajiriwa wapya kinatia shaka na kulifanya suala la ukabila liwe na nguvu zaidi...Na wengine wanaweza wakasema hata hizo nafasi mbili hazijajazwa kutokana na 'wahaya' wenzake kutojitokeza kuomba kazi hizo....
 
Ingekuwa vyema zaidi tukapata majina ya walioomba na sifa za kila mwaombaji alafu na sifa za post husika na waliohusika kuchagua ili iwe rahisi kufikia hitimisho mojawapo

Tunaomba Edo amalizie sehemu hii atuletee kwa maana yeye ndo kaanzisha mjadala ili tuchuje huku Jf wenyewe siyo tunaletewa nusu taharifa za hivi,katika hari kama hii tunaweza kujikuta tunaingia kwenye mtego wa Edo pasipo kujua uhalisia wa mambo.
 
Wewe tatzo lako ni wahaya au unataka kuona soka la Tz likiwa juu. sasa km hao wahaya wanaweza kulipaisha soka le2 siwaache tu! We na Eddo nyote ni mapu.........!
Sory kama nimekukwaza ama kukugusa kwa namna yoyote mkuu....

Ungetulia ukanywa maji mengi na kusoma vizuri nilichoandika kisha ukanijibu ungekuja na maneno mazuri na ya kistaarabu zaidi ya haya ambayo kimsingi yanakutafsiri u mtu wa aina gani...

Soma vizuri nilichoandika kisha uje tena badala ya kukukurupuka .....Re: Ukabila TFF: Jamal Malinzi jibu/fafanua hili kabla sumu haijaenea
 
Naamini this is not coincedence! Na mimi si muumini wa ukabila!
Najua ni hatari sana kuangaliana kwa makabila yetu na huwa sifanyi hivyo hata siku moja! Kwa kuwa ni mwenzetu hapa, basi tunamwomba Jamal Malinzi aje atufafanulie!
Naona amemtosa hata mshkaji wake wa karibu, Michael Wambura!

cc: Bishanga
 
Last edited by a moderator:
TFF for now is quishney,ni kichaka au inataka kufanana na taasisi binafsi,tutegemee madudu zaidi,*wadau hatufahamu agenda wala mikakati au jitihada maalumu za kuinua soka letu till now !!
 
Hii habari imewekwa pia na Eddo Kumwembe ktk ukurasa wake wa Fb...sasa hii habari ya kutazamana kwa makabil inazidi kushamiri sana
 
Mambo ya kulindana pale mmoja atakapoharibu,yataisha kimyakimya.!!
 
Hao walioachwa walikuwa na sifa kuliko hawa walioteuliwa? Acha upu......! Subirini matokeo, na hata km wakishndwa kudeliver tutawajudge kwa performance na si kwa kabila zao!
 
pumba fu kwani walijichagua? acha u senge je kama imetokea by coincidence je? nyie ndo wale ------- msemo chadema ya wachaga, mwacgen malnz apige kaz yake, maadam hai wahaya wamechaguliwa na kamati tendaji na anaina wanafaa kufikia lengo lake
 
Tehe nshomile wanakuja juu
Awe kapatia au hajapatia kwangu no
Mf hizo kamati za maadili na uchaguzi zilihitaji wanasheria tu na hawaombi bali huteuliwa sasa kama wanasheria wapo bukoba peke yake sawa
Tutakukumbuka chila tenga
 
Back
Top Bottom