Ukabila TFF: Jamal Malinzi jibu/fafanua hili kabla sumu haijaenea

Ukabila TFF: Jamal Malinzi jibu/fafanua hili kabla sumu haijaenea

nchi hii wanaoila ni wachaga na wahaya, kidoogo wanyakyusa, sisi wengine tunaukimbiza mwenge tu. Roho inaniuma, harakati za kuikomboa nchi kutoka kwa mabeberu zilianzia pwani, lakini ndio mkoa ambo usio na wasomi wengi. Wilaya yangu ya rufiji haijawahi kutoa hata waziri, kilasiku wabunge tunaletewa tu sio chaguo letu.

unaletewa na nani? Au upo nchi nyingine? Sema tunanunuliwa kwa kofia na fulana za kijani,jimboni kwangu hawaangalii chama wala sura issue ni maendeleo tu ukiboronga nguvu ya umma inakuondosha bila kujali wewe ni chama gani, kuanzia mwaka 1995 tumeshatawaliwa na wabunge watatu kutoka vyama tofauti, tulianza na nccr kashindwa kazi tukapiga chini, tukarudi ccm akaboronga tukampiga chini na sasa ni chadema naye akiboronga hatarudi 2015, wole wenu mnaochagua vyama badala ya utendaji kazi
 
serikali yoyote duniani inaweka huduma za jamii pale penye uhitaji, pwani na rufiji unakozungumzia mmeweka ngoma mbele, ndoa za utotoni, na uvuvi, kuloga na kuwachukia waalimu, kutowekeza katika ujenzi wa shule pamoja na nyumba za waalimu! usitarajie mkazi wa dar au moshi, mwanza na arusha aliyezoea nyumba nzuri aje akalale rufiji kwenye mbavu za mbwa aache kwenda kwenye maeneo yenye huduma muhimu za msingi. Mimi kijiji nilichotoka kina shule nne za msingi mbili zilijengwa na kanisa na kutaifishwa na serikali mwanzoni mwa miaka ya sitini, mbili zimejengwa kwa nguvu za wananchi nikiwemo mimi nilibeba sana mawe na mchangaa mtoni, mwanzoni tulikuwa hatuna waalimu kutokana na tatizo la nyumba, uongozi wa kijiji ukaowaunganisha wanakijiji kuchangia nguvu na pesa na kufanikiwa kujenga nyuma kama nne za kisasa za waalimu mpaka sasa. Wanakiji wa kijiji changu wanapenda kujenga nyumba nzuri nyumbani lakini hata hawaishi huko, wengi ni wafanya biashara mikoani hivyo nyumba zao huwapangisha waalimu kwa gharama yaa kutunza shamba lake tu! Waalimu kutoka maeneo mbalimbali ya nchi hii wanatamani sana kufanya kazi kijijini kwangu kwani pamoja na mambo mengine niliyowaeleza mwalimu na padre wa kanisa katoliki wnaheshimika na kupendwa kama miungu watu, kwa mantiki hiyo waalimu pamoja na kukasirishwa na serikali bado wanafundisha kwa bidii. Shule za kata kijiji changu zipo mbili hazina waalimu wa kutosha ila mbunge wangu hupita vyuo vikuu na vya diploma mbalimbali kuwahimiza wakirudi likizo wakaokoe jahazi nyumbani zero zinaongezeka. KWENU MNATEGEMEA SERIKALI KILA KITU NA NYIE MNABAKIKUCHEZA NGOMA TU, POLE SANA NDUGU YANGU INGAWAJE NAJUA UKWELI UNAUMA!
Bahati yako naheshimu kununi zinazo liongoza jukwaa hili, lasivyo ningekupa tusi hilo hata baba yako na mama yako hawajawahi kulisikia. Tena naomba usini quote.
 
unaletewa na nani? Au upo nchi nyingine? Sema tunanunuliwa kwa kofia na fulana za kijani,jimboni kwangu hawaangalii chama wala sura issue ni maendeleo tu ukiboronga nguvu ya umma inakuondosha bila kujali wewe ni chama gani, kuanzia mwaka 1995 tumeshatawaliwa na wabunge watatu kutoka vyama tofauti, tulianza na nccr kashindwa kazi tukapiga chini, tukarudi ccm akaboronga tukampiga chini na sasa ni chadema naye akiboronga hatarudi 2015, wole wenu mnaochagua vyama badala ya utendaji kazi
***###@@@&&&****+";,!!?%%%&****###@@@ "-----........;;;;;''''''''!!!!!!!!++++++///////€€€€¥¥¥¥¥&#65510;&#65510;&#65510;&#65510;&#65510;®®®®©©©©§§§}}}}]]|||||||_====>>»«\¢¥¡¿=~©°`][|}{><_=~$€¡¿¥&#65510;🙂x-🙂-O:-@:-QXD:-X=-O:-*:O:-/:-$:-|:-!:-O:-@:-QXD:-V<3O🙂;-):-🙂-):-*😵:-/B-):-$:-!x-🙂-|😵:-D:-X:'🙂-\#####*&$¥&#65510;§^`°°]§&#65510;«\¡£¢§^®©.
 
Wilaya yangu ya Rufiji haijawahi kutoa hata Waziri, kilasiku wabunge tunaletewa tu sio chaguo letu.
Bakari Mbonde(MBUNGE-Rufiji 1990-2000) alikuwa Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu kutoka mwaka 1990-95!

Mbonde anatoka Rufiji
 
Mkuu usikarie kukariri, Mbonde unaemsema hakua Mndengereko. Mbonde ni mmatumbi, umesikia?
 
***###@@@&&&****+";,!!?%%%&****###@@@ "-----........;;;;;''''''''!!!!!!!!++++++///////€€€€¥¥¥¥¥&#65510;&#65510;&#65510;&#65510;&#65510;®®®®©©©©§§§}}}}]]|||||||_====>>»«\¢¥¡¿=~©°`][|}{><_=~$€¡¿¥&#65510;🙂x-🙂-O:-@:-QXD:-X=-O:-*:O:-/:-$:-|:-!:-O:-@:-QXD:-V<3O🙂;-):-🙂-):-*😵:-/B-):-$:-!x-🙂-|😵:-D:-X:'🙂-\#####*&$¥&#65510;§^`°°]§&#65510;«\¡£¢§^®©.

Umeamua kumwaga radhi?
 
Well done Jamal Malinzi...

Katibu mpya wa TFF ni Mhaya,
Mkurugenzi wa sheria na utawala ni Mhaya,
Mshauri wa masuala ya kiufundi ni Mhaya,
Mwenyekiti mpya wa kamati ya maadili ni Mhaya,
Mwenyekiti mpya wa kamati ya Uchaguzi ni Mhaya
na wewe Big Boss wetu ni Mhaya...

Asante sana. World cup here we go..2018.

Source: facebook page ya.Edo Kumwembe

Chezeya wahaya wewe! Ukioa mhaya wakati wewe si mhaya jua utapigiwa tu hata uwe askofu wa Kiprotestant! Nilikuwa nacheka kimoyomoyo watu mlipokuwa mnampigia promo Malinzi hapa ukumbini (japo hata aliekuwa mpinzani wake hafai vile vile), maana jamaa namfahamu kiasi (tumepata kinywaji sana pale Kinondoni kwa John Fedha na kampani zake Zacharia Hans Poppe; Francis Mponjoli Kifukwe na Michael Wambura. Tulieni wapenzi wa football wa nchi hii tupigwe michanga ya macho!
 
Umeamua kumwaga radhi?

Mamdenyi; uccm wako unaweka rehani vizazi vyako mwenyewe (kizazi cha tatu hata cha nne nakuambia). Endelea tu na uyafanyayo leo na utayaona haya ninayokwambia leo tena kabla hujaondoka dunia hii!
 
Kazi ipo. Jamaa anatoka na wapoti wenzake mchana kweupee
 
Bahati yako naheshimu kununi zinazo liongoza jukwaa hili, lasivyo ningekupa tusi hilo hata baba yako na mama yako hawajawahi kulisikia. Tena naomba usini quote.[/QUOTE)

Amekupa za uso (ambazo ni za ukweli) au...? Mods please, huyu ndugu akinitukana msimpige ban!
 
Bahati yako naheshimu kununi zinazo liongoza jukwaa hili, lasivyo ningekupa tusi hilo hata baba yako na mama yako hawajawahi kulisikia. Tena naomba usini quote.[/QUOTE)

Amekupa za uso (ambazo ni za ukweli) au...? Mods please, huyu ndugu akinitukana msimpige ban!
Matusi ni lugha za walevi, bahati mbaya kwetu Pwani ulevi ni kharamu kama ilivyo nguruwe.
 
well done jamal malinzi...

Katibu mpya wa tff ni mhaya,
mkurugenzi wa sheria na utawala ni mhaya,
mshauri wa masuala ya kiufundi ni mhaya,
mwenyekiti mpya wa kamati ya maadili ni mhaya,
mwenyekiti mpya wa kamati ya uchaguzi ni mhaya
na wewe big boss wetu ni mhaya...

Asante sana. World cup here we go..2018.

Source: Facebook page ya.edo kumwembe

kwa huyo mwembe anataka kusema jamali malinzi aliwaweka tuu, na hawakupitia utaratibu wa kawaida?
 
kwa huyo mwembe anataka kusema jamali malinzi aliwaweka tuu, na hawakupitia utaratibu wa kawaida?

Kumpata Katibu mkuu vigezo vilivyowekwa vilikiukwa sasa hapo kigezo cha ukabila ndo kilitumika
 
Mkuu usikarie kukariri, Mbonde unaemsema hakua Mndengereko. Mbonde ni mmatumbi, umesikia?
Mkuu,
Hii mada yenu mngeifungulia thread naona mnapoteza dhumuni la hii mada
 
KUNA MAMBO TUNATAKIWA KUJIULIZA KWANZA.

je Jamali malinzi ndio muajiri pekee tff?

Utaratibu gani unafatwa katika kuajiri?

Ni wangapi walijitokeza kuomba nafasi na wenye sifa wakanyimwa?

Waliopewa ajira wana sifa au hawana?
 
Back
Top Bottom