Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Makaburu bado wanaishi Afrika na makaburu wa leo ni weusi kama sisi ila pengine ni hatari kuliko makaburi weupe. Makaburu hawa wanateka, wanaua, wanatesa, wanabimbikizia kesi, wanatumia vibaya madaraka, wanaiba na kupora mali za umma kwa kiwango amacho hata makaburu wa Afrika kusini hawakuwahi kufanya.
Makaburi hawa ambao wanavaa suti na wengine vilemba na kutembea na magari ya kifahari ya umma, ni watu primitive kupita maelezo. Ni watu waliolewa madaraka na waoga kuliko kunguru.
Nawashauri wavue suti na vilemba wakavae magome ya miti warudi porini wanatutia aibu kabisa.
Hopeless kabisa!!!
Better were colonial days.
Makaburi hawa ambao wanavaa suti na wengine vilemba na kutembea na magari ya kifahari ya umma, ni watu primitive kupita maelezo. Ni watu waliolewa madaraka na waoga kuliko kunguru.
Nawashauri wavue suti na vilemba wakavae magome ya miti warudi porini wanatutia aibu kabisa.
Hopeless kabisa!!!
Better were colonial days.