Ripot zake hufanyiwa kazi Kwa siri, baadhi ya mapendekezo
Chadema mnayumbayumba Sana!
HaiweziInaweza kupita siku bila ya kuandika au kutamka neno chadema?
Panga kuita mwanao jina hilo itapendeza zaidiHaiwezi
Si mnasemaga Chadema iko mioyoni au ni hadi tukilewa Mbege!Panga kuita mwanao jina hilo itapendeza zaidi
Ingekuwa Kenya raila angeitisha maandamano ya kutaka mamlaka za uwajibishaji hapa kwetu uteuzi zichukue hatua dhidi ya wezi wa kodi za wananchi.Demokrasia inahusu wengi kupewa. Hata hivyo ni busara zaidi walio sahihi kupewa:
View attachment 2575083
Kaguzi za CAG zinazofanyika miaka nenda rudi bila hatua zozote za maana kuchukuliwa ni za nini?
View attachment 2575081
Ya nini kupoteza pesa kwenye kuibiwa na kwenye kaguzi zisizongatiwa?
Kwa mwendo huu wanaoona ofisi ya CAG ifutwe, wana hoja.
Wasikilizwe!
Kumbe na wewe iko moyoni? Tuko pamoja. Siasa siyo uadui.Si mnasemaga Chadema iko mioyoni au ni hadi tukilewa Mbege!
Tangu lini mwizi akashughulikiwa bungeni?Fuatilieni kwa makini bungeni, hao wawakilishi wenu ndio wenye jukumu la kufanyia kazi ripoti ya CAG na kuipa maazimio serikali. Msiwalaumu wasiohusika.
Bwashee wanaogeuza Siasa Kuwa Uadui ndio wanatucheleweshea maendeleoKumbe na wewe iko moyoni? Tuko pamoja. Siasa siyo uadui.
"Hufanyiwa kazi kwa siri baadhi ya mapendekezo." Hapo si ndipo kuuziana mbuzi kwenye gunia kulipo?
Ingekuwa Kenya raila angeitisha maandamano ya kutaka mamlaka za uwajibishaji hapa kwetu uteuzi zichukue hatua dhidi ya wezi wa kodi za wananchi.
Bahati mbaya kwa sasa hatuna mpinzani wa kuweza kufanya ya Raila.
Hivi ni nini mbadala wa upinzani hapa kwetu kinachoweza kuchukua nafasi ya upinzani kushinikiza serikali kuçhuku hatua?
Uongo mtupu huo,hakuna linalofanyika🤣shamba la miwa la bibi🤣🤣🤣
Bwashee wanaogeuza Siasa Kuwa Uadui ndio wanatucheleweshea maendeleo
Binafsi huwa napenda kumpa changamoto Freeman kwa sababu namuelewa kitambo Sana kabla ya hizi Siasa, ni mtu muungwana!
🤩🤩 Unamaanisha Bwashee Freeman?Tatizo lenu wengine ni vipenyo huwala wengine mumo kwa mumo
Naamanisha ninyi. Kwani huwa mnachelewa kupewa u NW?🤩🤩 Unamaanisha Bwashee Freeman?