Ukaguzi wa CAG usiozingatiwa ni wa nini?

Ukaguzi wa CAG usiozingatiwa ni wa nini?

Ingekuwa Kenya raila angeitisha maandamano ya kutaka mamlaka za uwajibishaji hapa kwetu uteuzi zichukue hatua dhidi ya wezi wa kodi za wananchi.
Bahati mbaya kwa sasa hatuna mpinzani wa kuweza kufanya ya Raila.
Hivi ni nini mbadala wa upinzani hapa kwetu kinachoweza kuchukua nafasi ya upinzani kushinikiza serikali kuçhuku hatua?
Hizi ripoti huwa zinaenda bungeni na waliotajwa huitwa na kuhojiwa kwa kutoa maelezo ya ziada baada ya hapo bunge linakuja na maazimio. Sasa enzi zile PAC Iko chini ya Zitto mawaziri kibao walikua wanang'olewa na hakukuwa na maandamano.

Enzi hizo ripoti ya PAC ikisomwa wote tunakaa kwenye redio au Tv zetu maana tunajua Kuna vichwa vitaliwa. Ila tokea bunge la Ndugai tumeona PAC Haina makali, upinzani nao wakamweka Kaboyoka ambaye sio radical, so tokea hapo ikawa wezi wanasalimika tu Hadi leo.

So nadhani issue ni kubana wabunge tuliowachagua kama watakua mabubu basi imekula kwetu maana tuliwaingiza kwa kishindo!!
 
Hizi ripoti huwa zinaenda bungeni na waliotajwa huitwa na kuhojiwa kwa kutoa maelezo ya ziada baada ya hapo bunge linakuja na maazimio. Sasa enzi zile PAC Iko chini ya Zitto mawaziri kibao walikua wanang'olewa na hakukuwa na maandamano.

Enzi hizo ripoti ya PAC ikisomwa wote tunakaa kwenye redio au Tv zetu maana tunajua Kuna vichwa vitaliwa. Ila tokea bunge la Ndugai tumeona PAC Haina makali, upinzani nao wakamweka Kaboyoka ambaye sio radical, so tokea hapo ikawa wezi wanasalimika tu Hadi leo.

So nadhani issue ni kubana wabunge tuliowachagua kama watakua mabubu basi imekula kwetu maana tuliwaingiza kwa kishindo!!
Ndani yabunge la sasa hakuna mbunge aliyetokana na kura za wananchi kama vile ilivyo kwa rais ni rais wa kudra za mwenyezi Mungu na sii wa sanduku la kura.
Ole ni kwetu sisi tuliporidhia uporaji wa uchaguzi kwa kunyamazia jambo hilo.
Hili bunge ni butu na ubutu wake unatokana na lote kuwa la viti maalumu kwa uteuzi badala ya uchaguzi wa sanduku la kura.
Asaad aliwahi zungumzia hili bunge kuwa bure kabisa katika suala la kuishauri na kuisimamia serikali.
 
Ndani yabunge la sasa hakuna mbunge aliyetokana na kora za wananchi kama vile ilivyo kwa rais ni rais wa kudra za mwenyezi Mungu na sii wa sanduku la kura
Sasa hayo ni maoni binafsi ila kikatiba wao ndio wabunge na Samia ndio Rais so kisheria inapaswa wabunge ndio waandike mapendekezo then serikali itekeleze kama ilivyoagizwa.
Ole ni kwetu sisi tuliporidhia uporaji wa uchaguzi kwa kunyamazia jambo hilo.
Lakini mkuu hakuna mwananchi aliandamana au kupinga hizi chaguzi kipindi matokeo yanatangazwa, walikua wanachekelea wakisema wapinzani wanataka wawaandamanishe wananchi maskini Ili walinde vyeo vyao vya kisiasa.

Asaad aliwahi zungumzia hili bunge kuwa bure kabisa katika suala la kuisimamia serikali.
Eeeh tatizo awamu ya 6 nguvu ya bunge ilihamishiwa kwa JPM. Mpaka ripoti za kibunge kukagua Makinikia na Tanzanite alikabidhiwa JPM badala ya wao kuandaa maazimio. Ila kwa Sasa wapinzani wangekuwepo bungeni kwa aina ya uongozi wa Samia basi tungeona Ile PAC/PIC/LAAC yenye meno kama 2008-2015.
 
CAG hana kazi Tanzania, bora wafute hicho cheo, kwasababu sasa inaonekana CAG nae anakula bure mshahara wa walipa kodi, kama ambavyo wezi wanaotajwa kwenye ripoti zake wanavyotuibia pasipo kufanywa lolote.
 
Demokrasia inahusu wengi kupewa. Hata hivyo ni busara zaidi walio sahihi kupewa:

View attachment 2575083

Kaguzi za CAG zinazofanyika miaka nenda rudi bila hatua zozote za maana kuchukuliwa ni za nini?

View attachment 2575081

Ya nini kupoteza pesa kwenye kuibiwa na kwenye kaguzi zisizozingatiwa?

Kwa mwendo huu wanaoona ofisi ya CAG ifutwe, wana hoja.

Wasikilizwe!

Kumbe mama alijitukana mwenyewe. Kumbe ATCL anaisimamia yeye mwenyewe.
 
Ingekuwa Kenya raila angeitisha maandamano ya kutaka mamlaka za uwajibishaji hapa kwetu uteuzi zichukue hatua dhidi ya wezi wa kodi za wananchi.
Bahati mbaya kwa sasa hatuna mpinzani wa kuweza kufanya ya Raila.
Hivi ni nini mbadala wa upinzani hapa kwetu kinachoweza kuchukua nafasi ya upinzani kushinikiza serikali kuçhuku hatua?

Nani ataandaamana?. Unalinganisha Kenya na Tanzania?. Huku ni uchawa.
 
CAG hana kazi Tanzania, bora wafute hicho cheo, kwasababu sasa inaonekana CAG nae anakula bure mshahara wa walipa kodi, kama ambavyo wezi wanaotajwa kwenye ripoti zake wanavyotuibia pasipo kufanywa lolote.
Naona wengi hatuelewi, CAG anafanya kazi ya BUNGE ndio maana bajeti yake haiandaliwi na serikali Bali kamati ya bunge!! So ripoti yake inaenda PAC then wao wataileta bungeni then baada ya majadiliano hatua zichukuliwe, so kazi kwao kuchukua hatua sio kazi ya CAG tena.

So kama mlichagua wabunge mabubu mjilaumu wenyewe. Maana CCM imeachiwa Kila kitu kuanzia diwani mpaka wabunge so usitegemee hatua zozote zitachukuliwa hii miaka mitano.

Alafu aliyefanya hayo anaitwa mzalendo!!
 
Mimi ni Chadema kuliko Wewe Bwashee!

Nakutakia Kwaresma Njema!
FsylyojWwAEyxaE.jpeg
 
Naona wengi hatuelewi, CAG anafanya kazi ya BUNGE ndio maana bajeti yake haiandaliwi na serikali Bali kamati ya bunge!! So ripoti yake inaenda PAC then wao wataileta bungeni then baada ya majadiliano hatua zichukuliwe, so kazi kwao kuchukua hatua sio kazi ya CAG tena.

So kama mlichagua wabunge mabubu mjilaumu wenyewe. Maana CCM imeachiwa Kila kitu kuanzia diwani mpaka wabunge so usitegemee hatua zozote zitachukuliwa hii miaka mitano.

Alafu aliyefanya hayo anaitwa mzalendo!!
- Nani aliwachagua hao wabunge?

- Bila kujali analipwa na nani, CAG analipwa mshahara au halipwi?

- Hata kama analipwa na kamati ya bunge, hilo bunge lina chanzo gani cha mapato?

- Ripoti zake zinafanyiwa kazi au hazifanyiwi?

- Magufuli anahusika vipi na wizi uliotokea awamu ya Samia?
 
Magufuli anahusika vipi na wizi uliotokea awamu ya Samia?
Hakuna wabunge wa upinzani so hakuna PAC chini ya wapinzani unadhani CCM itawachukulia hatua CCM wenzao
Hata kama analipwa na kamati ya bunge, hilo bunge lina chanzo gani cha mapato?
Halipwi na bunge ila bajeti yake inapangwa na bunge so hao hazina ni kutekeleza tu. So hiyo ripoti ni ya matumizi ya kibunge.
Ripoti zake zinafanyiwa kazi au hazifanyiwi?
Bunge nadhani la January ndio huwa linapokea ripoti ya PAC baada ya kuchambua ripoti ya CAG na kuita wahusika wote. So maazimio ndio hayo Sasa ambapo watu huchukuliwa hatua. Tatizo ni kwamba PAC ya Sasa ni CCM ndio maana tokea 2020 hakuna hatua iliyochukuliwa
Nani aliwachagua hao wabunge?
Whatever iwe wananchi au JPM ila ndio kisheria Wana uwezo wa kuchukua hatua dhidi ya mafisadi.


Cc Kalamu
 
Hakuna wabunge wa upinzani so hakuna PAC chini ya wapinzani unadhani CCM itawachukulia hatua CCM wenzao

Halipwi na bunge ila bajeti yake inapangwa na bunge so hao hazina ni kutekeleza tu. So hiyo ripoti ni ya matumizi ya kibunge.

Bunge nadhani la January ndio huwa linapokea ripoti ya PAC baada ya kuchambua ripoti ya CAG na kuita wahusika wote. So maazimio ndio hayo Sasa ambapo watu huchukuliwa hatua. Tatizo ni kwamba PAC ya Sasa ni CCM ndio maana tokea 2020 hakuna hatua iliyochukuliwa

Whatever iwe wananchi au JPM ila ndio kisheria Wana uwezo wa kuchukua hatua dhidi ya mafisadi.


Cc Kalamu
- Hata kama PAC ingekuwa ya wapinzani, bado kama tabia ya CCM ni kulindana, hao wangelindwa tu, hata sielewi unachoandika..

- Kama unajua pesa inatoka hazina mpaka useme " hazina wanatekeleza ", basi maana yake hiyo pesa ndio ya walipa kodi, sasa sijui kule mwanzo ulibisha nini hasa?!. naona unazunguka tu kama mtoto..

- Kama unakiri toka 2020 ripoti za PAC hazifanyiwi kazi, kule mwanzo uliandika vitu gani? mbona unaji contradict sana?!.

- Now unaandika; " ... whatever, iwe wananchi au JPM!", sasa mbona kule mwanzo uliandika " kama mlichagua wabunge mabubu" mpaka nikakuuliza nani aliyewachagua?!

Mjomba kuwa makini unapo ni quote, najielewa huwa sibahatishi; and don't quote me for the sake of showing someone like you do, or seeking assistance whatever, wacha ushamba... am above that nonsense of yourz!.

Tchao!.
 
Hata kama PAC ingekuwa ya wapinzani, bado kama tabia ya CCM ni kulindana, hao wangelindwa tu, hata sielewi unachoandika..
Hapana mbona POAC/PAC ya Zitto 2009-2015 walitimuliwa mawaziri/manaibu zaidi ya 10 (Ukiachana na Tegeta Escrow) so ni kweli kwamba PAC ikiwa na mpinzani serious basi inakua na makali.
- Kama unakiri toka 2020 ripoti za PAC hazifanyiwi kazi, kule mwanzo uliandika vitu gani? mbona unaji contradict sana?!.
Zinafanyiwa kazi bunge la January nachoongelea MAPENDEKEZO hayana ukali Sababu hamna upinzani tokea 2020 so sijaji contradict. I Repeat Nlichosema ripoti ni matumizi ya bunge (Hili hufanyika bunge la January) ila tatizo kwa Sasa PAC haina mpinzani so haitoi "mapendekezo" makali.
- Kama unajua pesa inatoka hazina mpaka useme " hazina wanatekeleza ", basi maana yake hiyo pesa ndio ya walipa kodi, sasa sijui kule mwanzo ulibisha nini hasa?!. naona unazunguka tu kama mtoto..
Pesa ya walipakodi ila sio ya serikali.... Bajeti huwa inapendekezwa na serikali then wabunge wanapitisha. Ila ya CAG PEKEE haipendekezwi na serikali Bali kamati ya bunge Sasa contradiction Iko wapi? Hii inafanywa Ili serikali isije minya fungu la anayemkagua yaani NAO. Ungekua makini ungelijua hili!!
Now unaandika; " ... whatever, iwe wananchi au JPM!", sasa mbona kule mwanzo uliandika " kama mlichagua wabunge mabubu" mpaka nikakuuliza nani aliyewachagua
Maana unataka kusema hawakuchaguliwa na wananchi ndio maana nikasema whether iwe JPM au wananchi it doesn't matter mwisho wa siku hao ndio wamepewa dhamana ya kujadili ripoti ya CAG not otherwise.
Mjomba kuwa makini unapo ni quote, najielewa huwa sibahatishi; and don't quote me for the sake of showing someone like you do, or seeking assistance whatever, wacha ushamba... am above that nonsense of yourz!.
Naku quote sababu ni mjadala kama hupendi basi kacomment PM. Kingine kutag mtu asome mchango wangu sio replies zako, coz why would I need assistance debating with an average mind like you? Hata basics tu za auditing Wala parliamentary guidelines hujui!! Give me a break!!
 
Hapana mbona POAC/PAC ya Zitto 2009-2015 walitimuliwa mawaziri/manaibu zaidi ya 10 (Ukiachana na Tegeta Escrow) so ni kweli kwamba PAC ikiwa na mpinzani serious basi inakua na makali.

Zinafanyiwa kazi bunge la January nachoongelea MAPENDEKEZO hayana ukali Sababu hamna upinzani tokea 2020 so sijaji contradict. I Repeat Nlichosema ripoti ni matumizi ya bunge (Hili hufanyika bunge la January) ila tatizo kwa Sasa PAC haina mpinzani so haitoi "mapendekezo" makali.

Pesa ya walipakodi ila sio ya serikali.... Bajeti huwa inapendekezwa na serikali then wabunge wanapitisha. Ila ya CAG PEKEE haipendekezwi na serikali Bali kamati ya bunge Sasa contradiction Iko wapi? Hii inafanywa Ili serikali isije minya fungu la anayemkagua yaani NAO. Ungekua makini ungelijua hili!!

Maana unataka kusema hawakuchaguliwa na wananchi ndio maana nikasema whether iwe JPM au wananchi it doesn't matter mwisho wa siku hao ndio wamepewa dhamana ya kujadili ripoti ya CAG not otherwise.

Naku quote sababu ni mjadala kama hupendi basi kacomment PM. Kingine kutag mtu asome mchango wangu sio replies zako, coz why would I need assistance debating with an average mind like you? Hata basics tu za auditing Wala parliamentary guidelines hujui!! Give me a break!!
- Unazungumzia POAC ya Zitto, mbona huzungumzii za kabla na baada yake? jibu linarudi palepale, wanalindana, kumbe hata wakiamua kufanya kama walivyofanya kwa Zitto, bado wanafanya kwa mapenzi yao, ajabu mjuaji unadanganyika!.

- Naona unaendelea kupoteza muda tu, unasema zinafanyiwa kazi bunge la January blah blah.. wakati hapo juu umeshaandika iliyowahi kufanyiwa kazi seriously ni ya Zitto pekee..!!

- Unadai pesa ya walipakodi sio ya serikali..., wakati serikali ikishakusanya ndio inaamua ipeleke wapi, ndio maana pesa nyingine wanazichezea kama tulivyoona this time kwenye ripoti ya CAG, open up your mind!

- Kama ulikuwa unajua hawakuchaguliwa na wananchi, kule mwanzo usingesema "tuliwachagua" mpaka ukafanya nikuulize nani aliyewachagua, kuwa makini na unachoandika, usiwe kigeugeu..

The rest about ordinary mind nonsense... you better quit; coz seriously naona umekuwa unanisumbua tu kuni quote na vihoja vyako vyepesi claiming umesomea uchumi, wakati huwezi hata kutofautisha kile ulichosomea darasani na kinachotendeka field!, nipo nje ya box more than u msomi!.

And by the way, who told you nataka darasa lako la uchumi kwenye jukwaa la siasa?! Pathetic.
 
Back
Top Bottom