DISPLEI
Member
- Oct 17, 2012
- 73
- 47
Hili suala la ukaguzi wa maduka kubaini wasio na lesseni, vyeti vya afya, chombo cha kuwekea uchafu n.k. ni deal na maofisa wa serikali wananemeekea huko.
Anakuja mtu mmoja huyo huyo afisa biashara wa leseni. Huyo huyo TRA, afisa afya. Mwenye duka anaitwa kwa mtendaji. Akifika anatishiwa kuwekwa ndani na kupelekwa mahakamani. Baadaye anatakiwa kutoa 100,000 au zaidi kutegemeana na ukubwa wa duka ili ahachiwe.
Anaambiwa akate afya na kupewa risiti halali ya 5,000 lakini hela anatoa 10,000.
Hii katika serikali sikivu halijakaa sawa vyombo husika vilitazame watu wanateseka na kuliwa mitaji yao.
Anakuja mtu mmoja huyo huyo afisa biashara wa leseni. Huyo huyo TRA, afisa afya. Mwenye duka anaitwa kwa mtendaji. Akifika anatishiwa kuwekwa ndani na kupelekwa mahakamani. Baadaye anatakiwa kutoa 100,000 au zaidi kutegemeana na ukubwa wa duka ili ahachiwe.
Anaambiwa akate afya na kupewa risiti halali ya 5,000 lakini hela anatoa 10,000.
Hii katika serikali sikivu halijakaa sawa vyombo husika vilitazame watu wanateseka na kuliwa mitaji yao.