mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Taratibu tu Mataga wote mtakiri madhambi yenu na kutubu.
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Taratibu tu Mataga wote mtakiri madhambi yenu na kutubu.
Nani kakwambia tanzania raia wanafanyiwa ukatili !Kwa nini Watanzania wanavutiwa na mtu mkali? Mara nyingi nimekuwa nikisikia watu wakimwagia sifa Kiongozi fulani kwa kuwa ni mkali, nimesikia watu wakisema kwa mfano ka Jafo kanafaa sana kuwa Rais kakali sana'', ukali unahusiana nini na Uongozi mzuri na makini wa nchi ? Vipi kuhusu intelligence?
Au ni jinsi tunavyolelewa labda kwa maana hata Shuleni Mwalimu anayesifiwa ni yule mkali na katili anayechapa watoto viboko bila ya huruma.
Hakuna correleration au uhusiano wowote ule kati ya ukali, intelligence na maendeleo ya jamii, mtoto hajifunzi vizuri kwa viboko ingekuwa hivyo Shule za private ambazo watoto hawachapwi zisingeongoza matokeo, leo hii kila mtu anaota kupeleka mtoto wake IST Shule ya kimataifa ambapo hakuna viboko kwa nini kama bila ya viboko mtoto haendi? Au asienda bila ya viboko ni mtoto wa wengine tu?
Ukali au intelligence kipi muhimu? Binafsi nachagua intelligence, sijawahi kusikia nobel laureate yoyote ambaye amewahi kusema siri ya mafanikio yake ni viboko alivyopigwa alipokuwa mtoto, kama ukatili dhidi ya wengine ungekuwa unajenga nchi Dunia nzima wangekuwa wanachapana viboko, lkn sijawahi ona nchi yoyote ile iliyoendelea na tajiri wakiwafanyia ukatili raia wao wenyewe.
Hii ya lini na wapi?Muulize DC aliyepokea kipigo toka kwa binti wa shule!
Ukali wa mbuzi¿¿Ila nadhani kuna aina nyingi sana za ukali. (My perception!)
Let’s say ; 1)Ukali wa uso wa mbuzi (Huu ni ule muhusika haangalii Sura anapotoa maelekezo ama anapotoa adhabu , ila kwa kiasi chake anazingatia matokeo kadiri ya ufahamu wake!)
2)Ukali wa ukatili (Huu ni ule muhusika hajali matokeo yoyote yatakanayo na maelekezo yake ama adhabu zake, yawe matokeo positive ama negative, humwambii kitu!)
Bahati mbaya sana hapo kwenye “Intelligence “, sio wengi wetu tumejaaliwa kuitambua iliyopo ndani yetu na kuitumia ilivyokusudiwa!
Nafikiri kwa sauti!