Ukali na intelligence: Kipi kigezo bora anachopaswa kuwa nacho Kiongozi?

Nani kakwambia tanzania raia wanafanyiwa ukatili !

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Ukali ni mfumo wa kutumia nguvu zaidi ya akili.

Kujenga ushawishi na kukubalika ni mfumo wa kutumia akili zaidi kuliko nguvu.

Kuna Watanzania wengi wanapenda kutumia nguvu kuliko akili.
 
Dunia yenyewe inaendeshwa kwa misingi ya ukali

Intelligence ni umbo la nje tu la kuzugia

Ukweli wenyewe ni mkali

Nimemaliza
 
Ukali wa mbuzi¿¿
Kwani ukali ni behavior, attitude au Values???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…