Ukame wasababisha Wazimbabwe kuchinja na kula Tembo

Ukame wasababisha Wazimbabwe kuchinja na kula Tembo

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Njaa isikie kwingine tu.

Ikikukumba unaweza ukamkula hata mkeo [literally 😀].

Sina uhakika na vyakula vya huko kusini mwa Afrika.

Labda nyama ya tembo ni moja ya delicacies pande hizo.

Kutokana na ukame ulioikumba nchi hiyo, serikali yake imetoa ruhusa ya kuchinjwa kwa tembo 200 ili wananchi wapate chakula.

Zimbabwe inapanga kuwaondoa ndovu 200 ili kulisha raia wake ambao wanakabiliwa na njaa kali huku kukiwa na uhaba wa chakula kutokana na ukame.

Zimbabwe inakumbwa na ukame mbaya zaidi katika miongo minne. Kwa hivyo, serikali inataka kusambaza nyama ya tembo miongoni mwa jamii zenye njaa. Zimbabwe inafuata uamuzi wa hivi majuzi wa Namibia.

Mwezi uliopita, waliamua kuwaua wanyama pori 700 wakati wa ukame. Wahifadhi na wanaharakati wamekosoa mauaji hayo ya halaiki, lakini nchi bado hazijakata tamaa. Je, uondoaji huu wenye utata unaweza kutatua matatizo yao?


 
Njaa isikie kwingine tu.

Ikikukumba unaweza ukamkula hata mkeo [literally 😀].

Sina uhakika na vyakula vya huko kusini mwa Afrika.

Labda nyama ya tembo ni moja ya delicacies pande hizo.

Kutokana na ukame ulioikumba nchi hiyo, serikali yake imetoa ruhusa ya kuchinjwa kwa tembo 200 ili wananchi wapate chakula.


View: https://youtu.be/IrpPaXaR4b0?si=xk9CGKg5tMG0hAm7


Labda swali kwako mleta mada, hauelewi kwamba hata TZ nyama ya tembo huliwa?
 
Wapi huko hapa Tanzania ambako wanakula tembo?
Mkuu mikoa yote kuanzia Dodoma, singida Tabora, Shinyanga nk nk.
Mi mwenyewe nishakula.

nyama yake imegawanyika, kuna sehemu ni laini na sehemu zingine ni ngumu mno.

Mfano mkonga wake nyama yake ni very tender, haichoshi meno kutafuna.

Lakini ukumbane na nyama ya paja, wee!

Kifupi hao wanyama wakubwa wakubwa, wakiwemo faru na kiboko wanaliwa kama kawaida.
 
Mkuu mikoa yote kuanzia Dodoma, singida Tabora, Shinyanga nk nk.
Mi mwenyewe nishakula.

nyama yake imegawanyika, kuna sehemu ni laini na sehemu zingine ni ngumu mno.

Mfano mkonga wake nyama yake ni very tender, haichoshi meno kutafuna.

Lakini ukumbane na nyama ya paja, wee!

Kifupi hao wanyama wakubwa wakubwa, wakiwemo faru na kiboko wanaliwa kama kawaida.
nyama ya tembo ni kitoweo safi kabisa, mleta mada arudi darasani.
 
Huyu namla kila siku

Anyway njaa isikie tu bwasheee

Kuna rafiki zangu wa West Africa wakijaga wanashangaa sana jinsi bongo kulivyo na pets kibao kama mbwa na paka, wanadai sisi huku hatujui njaa ni nini
Huyu us babe bado sana kwenye mambo ya misosi, japo napendaga english yake. watu wanakula hadi chura yy anashangaa tembo?
 
Mkuu mikoa yote kuanzia Dodoma, singida Tabora, Shinyanga nk nk.
Mi mwenyewe nishakula.

nyama yake imegawanyika, kuna sehemu ni laini na sehemu zingine ni ngumu mno.

Mfano mkonga wake nyama yake ni very tender, haichoshi meno kutafuna.

Lakini ukumbane na nyama ya paja, wee!

Kifupi hao wanyama wakubwa wakubwa, wakiwemo faru na kiboko wanaliwa kama kawaida.
Shinyanga wanakula tembo? Ndo mara yangu ya kwanza kusikia hilo.

Shinyanga kuna tembo?
 
Nenda mikumi wale wauzaji wa nyama njiani wanaweza kukulisha tembo
 
Huyu namla kila siku

Anyway njaa isikie tu bwasheee

Kuna rafiki zangu wa West Africa wakijaga wanashangaa sana jinsi bongo kulivyo na pets kibao kama mbwa na paka, wanadai sisi huku hatujui njaa ni nini
Hahaha! Umenikumbusha Trump alivyosema wahamiaji kutoka Haiti waliopo huko Springfield, Ohio, wanakula mbwa na paka 🤣.

Mimi ndo maana kuna migahawa siwezi kwenda kununua chakula. Migahawa ya hao watu wa Afrika Magharibi na migahawa ya hao Wahaiti.

Wanakulaga mavitu ya ajabu ajabu sana.
 
Back
Top Bottom