Ukamilishaji wa dozi

Ukamilishaji wa dozi

Raphael Thedomiri

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2019
Posts
442
Reaction score
729
Hili tatizo limekuwa ni kubwa sana. Wataalamu wa afya wamekuwa wakitutaadharisha kuhusiana na madhara ya kutokukamilisha dozi za antibiotics kwamba hiyo hali uchangia usugu dhidi ya bakteria!

Sasa hili tatizo linaloendelea kushamiri tuu katika jamii zetu na kuhatarisha afya zetu, je ni kutokujua? Kupuuzia? Au uvivu?
Screenshot_20220827-123152_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom