Ukanda huu hakuna timu ya kuifunga yanga

Tushawapa watu kazi maalum wawachezee rafu wakae nje msimu mzima
 
Sokaa safiii...mpaka unafurahi mwenyewe


Hongereni Khalid aucho,fei toto kwa kazi nzuri.
Binadamu wasahailigu juzi tu team ya kichovu kabisa Rivers imekutoboa nje ndani harafu majukumu ya kimataifa kumwachia simba pekeyake na kujisifu kwa kuifunga kmc haipendezi
 
NI kweli wenye uwezo wa kuifunga yanga ni Rivers United peke yake tena nje ndani.
Mnapitwa Hadi na biashara United?
 
Ukanda wa kule matopeni nadhani..
 
Ukanda huo unaouongelea ni upi wa Gaza au?
 
Aisee yaani mechi tatu tu Utopolo mmeridhika kama mmemaliza ligi.
 
mkuu kama mdau wa mchezo...embu toa mapendekezo yako kwa manufaa ya kujenga yanga yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…