SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 47,706 Reaction score 69,281 Nov 6, 2021 #61 buhoro ksl said: Sokaa safi mpaka unafurahi mwenyewe. Hongereni Khalid aucho, Fei toto kwa kazi nzuri. Click to expand... Mara hii mumesahau Kapumbu alivyowamanua?
buhoro ksl said: Sokaa safi mpaka unafurahi mwenyewe. Hongereni Khalid aucho, Fei toto kwa kazi nzuri. Click to expand... Mara hii mumesahau Kapumbu alivyowamanua?
Little brain JF-Expert Member Joined Oct 31, 2020 Posts 4,282 Reaction score 6,303 Jan 19, 2022 #62 .
I ibanezafrica JF-Expert Member Joined Oct 23, 2014 Posts 7,261 Reaction score 6,553 Jan 19, 2022 #63 Huyo chiko ushindi nae ni motoo...mbona kazi wanayo mara hii
Che mittoga JF-Expert Member Joined Mar 28, 2017 Posts 12,658 Reaction score 16,205 Jan 20, 2022 #64 ibanezafrica said: Huyo chiko ushindi nae ni motoo...mbona kazi wanayo mara hii Click to expand... Ni muda sasa wa Yanga kuchukua ubingwa wa Afrika. Maana hawezi kufungwa tena. Sisi yetu macho
ibanezafrica said: Huyo chiko ushindi nae ni motoo...mbona kazi wanayo mara hii Click to expand... Ni muda sasa wa Yanga kuchukua ubingwa wa Afrika. Maana hawezi kufungwa tena. Sisi yetu macho
Frank Wanjiru JF-Expert Member Joined Apr 12, 2012 Posts 22,719 Reaction score 40,739 Jan 20, 2022 #65 Che mittoga said: Ni muda sasa wa Yanga kuchukua ubingwa wa Afrika. Maana hawezi kufungwa tena. Sisi yetu macho Click to expand... Teh teh kama wewe ulietaka kucheza na Madrid na Barcelona huku ukishindwa kufika Nusu Final ya Club Bingwa Africa.
Che mittoga said: Ni muda sasa wa Yanga kuchukua ubingwa wa Afrika. Maana hawezi kufungwa tena. Sisi yetu macho Click to expand... Teh teh kama wewe ulietaka kucheza na Madrid na Barcelona huku ukishindwa kufika Nusu Final ya Club Bingwa Africa.