Ukanda wa Pwani na manyasi yote haya mnashindwa kufuga ng'ombe?

Ukanda wa Pwani na manyasi yote haya mnashindwa kufuga ng'ombe?

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Ukanda wa Pwani na manyasi yote haya mnashindwa kufuga ng'ombe?

Hii kanda sijui ina matatizo gani

Nazungumzia Mikoa ya Pwani Tanga na huu ukanda wa Pwani wote

Huu ukanda umebarikiwa sana kuwa na nyasi na majani ya kutosha mwaka nzima lakini cha ajabu wakazi wa huku hawafugi ng'ombe wala chochote kile.

Dar es Salaam kuna uhaba wa Maziwa tokea zamani, eti maziwa hadi yatoke Iringa na Kilimanjaro na Arusha watu wapo tu.

Mmoja nilimuuliza akaleta hoja za kitoto kwamba eti huu ukanda una joto hivyo maziwa yataharibika!Kwahiyo huko Simanjiro, Mwanza, Dodoma, Shnyanga, Singida na Simiyu wanapofuga ng'ombe kuna baridi sana?

Inashangaza sana wenyeji wa huku mikoa hii yote ya Pwani, hadi wakuja waje kufuga nyie mpo tu? Nyie ni watu gani msojua kujiongeza? Sasa mtaendelea lini kwa style hizi?

Wilaya moja tu ya pale Moshi au Arusha inaizidi mikoa yote ya Pwani uijuayo kwa kutoa maziwa. Halafu mkibaki nyuma mnalaumu serikali
 
Wakifuga Pwani nyama na maziwa ya wafugaji yatakosa soko huko mikoani.
 
Mifugo hawali kila nyasi. Pia wanywa supu ya pweza wapi na wapi na kinyesi cha ng'ombe
 
Kwani ng'ombe anauzwa shilingi ngapi? embu tuanzie hapo
 
Ukanda wa Pwani na manyasi yote haya mnashindwa kufuga ng'ombe?

Hii kanda sijui ina matatizo gani

Nazungumzia Mikoa ya Pwani Tanga na huu ukanda wa Pwani wote

Huu ukanda umebarikiwa sana kuwa na nyasi na majani ya kutosha mwaka nzima lakini cha ajabu wakazi wa huku hawafugi ng'ombe wala chochote kile

Dar es sallam kuna uhaba wa Maziwa tokea zamani, eti maziwa hadi yatoke Iringa na Kilimanjaro na Arusha watu wapo tu

Mmoja nilimuuliza akaleta hoja za kitoto kwamba eti huu ukanda una joto hivyo maziwa yataharibika!Kwahiyo huko Simanjiro,Mwanza,Dodoma,Shnyanga,Singida na Simiyu wanapofuga ng'ombe kuna baridi sana?

Inashangaza sana wenyeji wa huku mikoa hii yote ya Pwani, hadi wakuja waje kufuga nyie mpo tu?Nyie ni watu gani msojua kujiongeza?Sasa mtaendelea lini kwa style hizi?

Wilaya moja tu ya pale Moshi au Arusha inaizidi mikoa yote ya Pwani uijuayo kwa kutoa maziwa.Halafu mkibaki nyuma mnalaumu serikali
Punguza bangi we shia.
 
Kila sehemu inayo utamaduni wake, utamaduni wa watu wa pwani siyo kufuga ng'ombe hayo tumewaachia Wasukuma na wengine. Kwani ni lazima nchi nzima tufuge ng'ombe?

Sisi ni watu wa kula samaki, pweza na ngisi kutoka katika rasilimali za bahari kama source ya protein.
 
Ukanda wa Pwani na manyasi yote haya mnashindwa kufuga ng'ombe?

Hii kanda sijui ina matatizo gani

Nazungumzia Mikoa ya Pwani Tanga na huu ukanda wa Pwani wote

Huu ukanda umebarikiwa sana kuwa na nyasi na majani ya kutosha mwaka nzima lakini cha ajabu wakazi wa huku hawafugi ng'ombe wala chochote kile.

Dar es Salaam kuna uhaba wa Maziwa tokea zamani, eti maziwa hadi yatoke Iringa na Kilimanjaro na Arusha watu wapo tu.

Mmoja nilimuuliza akaleta hoja za kitoto kwamba eti huu ukanda una joto hivyo maziwa yataharibika!Kwahiyo huko Simanjiro, Mwanza, Dodoma, Shnyanga, Singida na Simiyu wanapofuga ng'ombe kuna baridi sana?

Inashangaza sana wenyeji wa huku mikoa hii yote ya Pwani, hadi wakuja waje kufuga nyie mpo tu? Nyie ni watu gani msojua kujiongeza? Sasa mtaendelea lini kwa style hizi?

Wilaya moja tu ya pale Moshi au Arusha inaizidi mikoa yote ya Pwani uijuayo kwa kutoa maziwa. Halafu mkibaki nyuma mnalaumu serikali
[emoji871]Wanafanya ufugaji ambao unawashinda wabara wote!

[emoji871]Wao wanafuga minazi na kukamua madafu.

[emoji871]Usidharau miguu ya kuku wakati inabeba kitoweo[emoji16]
 
Ukanda wa Pwani na manyasi yote haya mnashindwa kufuga ng'ombe?

Hii kanda sijui ina matatizo gani

Nazungumzia Mikoa ya Pwani Tanga na huu ukanda wa Pwani wote

Huu ukanda umebarikiwa sana kuwa na nyasi na majani ya kutosha mwaka nzima lakini cha ajabu wakazi wa huku hawafugi ng'ombe wala chochote kile.

Dar es Salaam kuna uhaba wa Maziwa tokea zamani, eti maziwa hadi yatoke Iringa na Kilimanjaro na Arusha watu wapo tu.

Mmoja nilimuuliza akaleta hoja za kitoto kwamba eti huu ukanda una joto hivyo maziwa yataharibika!Kwahiyo huko Simanjiro, Mwanza, Dodoma, Shnyanga, Singida na Simiyu wanapofuga ng'ombe kuna baridi sana?

Inashangaza sana wenyeji wa huku mikoa hii yote ya Pwani, hadi wakuja waje kufuga nyie mpo tu? Nyie ni watu gani msojua kujiongeza? Sasa mtaendelea lini kwa style hizi?

Wilaya moja tu ya pale Moshi au Arusha inaizidi mikoa yote ya Pwani uijuayo kwa kutoa maziwa. Halafu mkibaki nyuma mnalaumu serikali
Wahamishie wamasai wa ngorongoro
 
Ukanda wa Pwani na manyasi yote haya mnashindwa kufuga ng'ombe?

Hii kanda sijui ina matatizo gani

Nazungumzia Mikoa ya Pwani Tanga na huu ukanda wa Pwani wote

Huu ukanda umebarikiwa sana kuwa na nyasi na majani ya kutosha mwaka nzima lakini cha ajabu wakazi wa huku hawafugi ng'ombe wala chochote kile.

Dar es Salaam kuna uhaba wa Maziwa tokea zamani, eti maziwa hadi yatoke Iringa na Kilimanjaro na Arusha watu wapo tu.

Mmoja nilimuuliza akaleta hoja za kitoto kwamba eti huu ukanda una joto hivyo maziwa yataharibika!Kwahiyo huko Simanjiro, Mwanza, Dodoma, Shnyanga, Singida na Simiyu wanapofuga ng'ombe kuna baridi sana?

Inashangaza sana wenyeji wa huku mikoa hii yote ya Pwani, hadi wakuja waje kufuga nyie mpo tu? Nyie ni watu gani msojua kujiongeza? Sasa mtaendelea lini kwa style hizi?

Wilaya moja tu ya pale Moshi au Arusha inaizidi mikoa yote ya Pwani uijuayo kwa kutoa maziwa. Halafu mkibaki nyuma mnalaumu serikali
Una umri gani?
 
[emoji871]Wanafanya ufugaji ambao unawashinda wabara wote!

[emoji871]Wao wanafuga minazi na kukamua madafu.

[emoji871]Usidharau miguu ya kuku wakati inabeba kitoweo[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23] umetusaidia mkuu
 
wakifuga wamasai inatosha, tukifuga wote hao wengine maziwa na nyama watauza wapi?
 
Ukanda wa Pwani na manyasi yote haya mnashindwa kufuga ng'ombe?

Hii kanda sijui ina matatizo gani

Nazungumzia Mikoa ya Pwani Tanga na huu ukanda wa Pwani wote

Huu ukanda umebarikiwa sana kuwa na nyasi na majani ya kutosha mwaka nzima lakini cha ajabu wakazi wa huku hawafugi ng'ombe wala chochote kile.

Dar es Salaam kuna uhaba wa Maziwa tokea zamani, eti maziwa hadi yatoke Iringa na Kilimanjaro na Arusha watu wapo tu.

Mmoja nilimuuliza akaleta hoja za kitoto kwamba eti huu ukanda una joto hivyo maziwa yataharibika!Kwahiyo huko Simanjiro, Mwanza, Dodoma, Shnyanga, Singida na Simiyu wanapofuga ng'ombe kuna baridi sana?

Inashangaza sana wenyeji wa huku mikoa hii yote ya Pwani, hadi wakuja waje kufuga nyie mpo tu? Nyie ni watu gani msojua kujiongeza? Sasa mtaendelea lini kwa style hizi?

Wilaya moja tu ya pale Moshi au Arusha inaizidi mikoa yote ya Pwani uijuayo kwa kutoa maziwa. Halafu mkibaki nyuma mnalaumu serikali
1.Penye miti mkuuu
2. Uvivu wa kufikiri
3. Ubwana
 
Jamii za ufugaji ni washamba na wakatili huko handeni wanafuga washaanza kukatana mapanga

Mambo ya kufuga mara kuongelesha ng'ombe akili zinaruka unaweza kuwa kichaa izo mambo hatupendelei kabisa
 
Wanafuga ndevu..na kuhifadhi dini ya hakhi..

Kimsingi waliridhi umwinyi ambao hawaujui..mana umasikini wa akili ndio umasikini wa kiuchumi.

Hawataki kufaga ngombe wanataka wafuge ngamia...kama una ngamia huko waletee wafuge.


#MaendeleoHayanaChama
 
Ila pwani ina mawaziri watano awamu hii

Kumbe ndio maana mikopo mingi

Sasa nimepata majibu

Na ndio maana wameamua kuzikandamiza jamii za kifugaji ni visasi tu.
 
Kama uliwahi kukaa mazingira ya pwani huwezi andika Kama ulivyoandika,kakae pwani kwanza hata mwezi mmoja halafu uje hapa kuandika Tena
 
Back
Top Bottom