Prince Dos Santos
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 1,047
- 1,321
Aibu tupu na kama hiyo haitoshi bado kuna mahayawani humu wanasema eti watu walikuwa wameshapoteza maisha hivyo waokoaji walirealise eti ni bora kuziacha maiti na kuendelea kuziopoa kesho yake , hii reasonig pekee inatosha kukuonesha ni jinsi gani baadhi yetu tulivyonaa akili za funzaumenikumbusha shairi la Late prof. Mwaikusa alipoandika "HOLLOW HEAD TORTURE ME WITH IGNORANCE " inatakiwa tufike kipindi tuanze kuona aibu, yaan tumeshindwa kuwaokoa watu kwa sababu ya giza..?
Kama ndo hicho, ilikuwaje wakaingia watu 400? Kwanini tusijifunze toka Mv Bukoba?View attachment 872196
Hicho ni kivuko cha Mv Nyerere kinachofanya safari zake kati ya Bugorola (Ukerewe) na Bwisya (Ukara). Kilikuwa kimeharibika kwa muda mrefu tangu kununuliwa mwaka 2004 na kilikakarabatiwa mwaka huu kwa kwa kufungwa injini mpya.
Dah!! Poleni Wakerewe na Wakara wenzetu.
KIVUKO CHA MV. NYERERE CHAFUNGWA INJINI MPYA - Issa Michuzi
Lubamba, Huyo makusudically anasukumwa na imani ya Lumumba, Napata taabu nionapo mtu mwerevu anashabikia serikali hii, kwani kama ni madudu mbona ni mengi sana tumeyaona, na mtu mmoja alisma tutashuhudia mengi sana awamu ya tano (tuendapo hatupajui) ndio maana JPM aliwahi kuulizwa hivi unapafahamu tunapoelekea ? akajibu wewe unaijua kesho yako, Taifa hili sasa ni kama gari ambalo halina dereva, anything can happen at anytime.Ulikoenda siko.MTU akielimika ndo kuwa na uwezo was kuchambua mambo kama alivyofanya paskali.Wewe unasukumwa na ushabiki kiasi kwamba naanza kuwa na wasiwasi na elimu yako.Kumbuka ni wajibu wa serkali kuelimisha watu wake na usichukulie kama fadhila kama wanavyosoma watu wa theolojia ya dini kwamba wakipata elimu hiyo si rahisi kuwa against na Mungu.Njoo na hoja pevu ili tusihoji juu ya elimu yako.
Actually kama ulikuwa unatarajia mbatia alie utasubiri sana. Msiba kama haujakugusa directly hutakuwa na uzito nao. Hata mhe.rais hata chozi hajadondosha njapo ndio nyumbani kwao huko.Maajabu ya dunia. Mbatia kapata habari ya msiba kaita waandishi. Na wengine wengi kazi yao Kutweet ujinga. Sasa ukiwapa madaraka Hawa wataongoza Watu Au nyani kwa Kukosa utu.
Ulitaka mbatia afanye nn mkuuMaajabu ya dunia. Mbatia kapata habari ya msiba kaita waandishi. Na wengine wengi kazi yao Kutweet ujinga. Sasa ukiwapa madaraka Hawa wataongoza Watu Au nyani kwa Kukosa utu.
ni mambo gani ambayo kama wananchi hatupaswi/tunapaswa kufanya
Kodi ya serikali itapatikanaje?nikiacha biaUsinywe bia
Maajabu mengine ya dunia ni pale na wewe unapoanzisha uzi wa kijinga....Maajabu ya dunia. Mbatia kapata habari ya msiba kaita waandishi. Na wengine wengi kazi yao Kutweet ujinga. Sasa ukiwapa madaraka Hawa wataongoza Watu Au nyani kwa Kukosa utu.