Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Hivi tunapataje ujasiri wa kutupiana vijembe vya kiitikadi kwenye misiba
 
Kabla ya mwaka 2015 wabunge wa CHADEMA walikuwa wachache kuliko wa CCM. Hiyo ilisaidia nini nchi yetu kuliko ilivyo sasa?
Una umri gani tuanzie hapo kwanza? Naweza nikawa nawasiliana na mtu ambaye yuko darasa la 7 kwa sasa hivyo nikimweleza maendeleo ya miaka 30 iliyopita nitakuwa na mwonea tu inawezakawa hata mimba yake ilikuwa haijatungwa!
 
Mkuu, uwe mpole, limeshatokea. Hii sababu ni technical reason kuwa ni kwa nini hakikuzama mwanzoni mwa safari au hata katikati na badala yake kikazama just 100 mts kabla ya kutua.
Bado naungana na wewe kuwa ni uzembe kuzidisha watu au mizigo.
Kabisa Mkuu kuna reasons zinazofanya meli icapsize pia Operational Mistakes zinachangia kwa kiasi kikubwa pale hali ya hewa ilikua tulivu.
 
Wewe na baba yako mlipima DNA.......,.kapime bhana nianze kukuhudumia!
 
Duuh
 
Ovyo
 
Pamoja na kauli ya kiungwana ya Muheshimiwa,je meli moja yenye uwezo wa kubeba abiria mia inaweza kuhudumia umati wa kisiwa pamoja na kuongeza idadi ya safari?
 
Ukitaka kujua kosa liko wapi, usianze kwa kutafuta sababu zisizo na ushahidi. Hadi sasa tuna taarifa zenye ushahidi, overloading. Uzuri ni kwamba TZ tuna mifano ya aina hii lakini kwa ujinga na huenda upumbav wa walioaminika kuendesha meli hizi bado hawakupata mafunzo. MV Bukoba, MV Spice..., MV Kipepeo meli zote hizi sababu ilikuwa ni overloading!

Tukikataa sababu yenye ushahidi ndo mwanzo wa kukimbilia uchawi na mambo ya kusema ni mapenzi ya Mungu. Hatuhitaji mambo ya kichawi wala kiroho kwa jambo la wazi kama hili.
 
Mkuu pia mim siizingatii kusema kua watu walisongea mbele ndio chombo kika capsize pia operational mistake zinaweza kua zimechangia kwa kiasi kikubwa.
 
Nahisi kuna choo kinavuta mavi hapa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…