Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Labda nikutane na mfiwa nitampa ,Lakini kwenye bakuli La Magufuli sitoi hat a senti
 
Ulikuwepo eneo la tukio?
 
pole sana mkuu kuanzia leo usikose kanisani maana umepata nafasi ya pili
 
Kazi ya Mungu Wakuu huwa haina makosa wale ndugu zetu waliofariki ni kwasababu ya mda wao wakuishi hapa duniani ulifikia mwisho
 
Wewe ni zaidi ya kilaza mkubwa unabishana kama zuzu au kichaa wakati hiyo hotuba ya mbunge wa ukerewe bungeni ipo na clip yake ipo,wacheni masihara kwenye msiba mkubwa kiasi hiki
Mbwiga anachosema mbunge ni kwamba hoja take ilifanyiwa kazi na kivuko kilitengenezwa......KUB Mbowe anasema hoja ya mbunge haikusikilizwa. Use unaelewa mkuu machale
 
Kwa kipigo amaa na hali so nzuri kivipi maelezo yako yamehang tu hakuna picha wala chanzo cha habari mkuu
#ITVupdate:Mmoja wa Mainjinia wa Kivuko cha Mv.Nyerere kilichopata ajali ya kuzama ziwa Victoria ameokolewa muda mfupi uliopita akiwa hai.
 
ungefiwa na ndgu au rafiki ingekuuma sana na usingeliweka kisiasa
 
Hii Habari Moderate Ifatilieni Haraka Tujue Ukweli Wake
Mungu Ni Mwema Wakati Wote
 
HAPO WA KULAUMIWA NI @SUMATRA..Hao polisi TRA,hayo sio mamlaka yao,,kama polisi,kitengo cha Marine wao wanasubiri order tu kutoka Sumatra.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…