Hata swali hujui kuukiza achilia mbali kusoma na kuelewa.Ulikuwepo eneo la tukio?
Hili swali linanisumbua hata mimi...Huyu Mkuu wa Mkoa bado yuko ofisini!??
Kama unaweza kuingia Instagram nenda kamsikilize maana me nimemsikiliza kidogo nkaona ananichefua nkatokaMkuu wa Mkoa ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na usalama Mkoa.
Aliambiwa na nani.. Maamuzi yote alikuwa nayo yeye.
Mimi mwenyewe nashangaaHuyu Mkuu wa Mkoa bado yuko ofisini!??
Waziri husika awajibishwe tupole sana mkuu
Habari zinazoripotiwa kutoka eneo la tukio zinasema mtu mmoja ameokolewa akiwa hai asubuhi hii
Mtu huyo ambaye ni engineer wa ferry hiyo amekutwa akiwa hai
Chanzo: ITV
Kumbe serikali imefanya makosa sana kuzuia uokozi usiku ule,wangeokolewa wengi wakiwa hai
Chukua cha Mbowe so unaye halo Billicanas club au imeyeyuka!Nipe kisusio hicho ulichokalia
Hata swali hujui kuukiza achilia mbali kusoma na kuelewa.
Kwa sababu huelewi basi walau picha utaelewa
Ferry tragedy: More than 200 feared dead in Tanzania
Mbona haikupinduka mwanzo wa safari ikaja kupinduka karibia inafika?Meli ilijaa sana mizigo na abiria si mapenzi ya Mungu
Chukua cha Mbowe so unaye halo Billicanas club au imeyeyuka!