Hercule Poirot
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 1,718
- 1,481
Sie tunaona kwa nje kwa ndani sio padogo pale.Imezama sehem yote ya watu kuweza kukaa limebak eneo la chin ambapo Huko hakuna nafasi
Alifuta labda sababu si yeye aletae majanga,wangefuta na cha kupokea rambirambiKitengo Cha uokoaji kipo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu Na Mwenye gari alifuta Bajeti ya Maafa tangu kashika sterling Kwa hoja Kuwa enzi zile Za Mkwere watu walikuwa wanapiga hizo hela
Ajali kubwa Kama ile cordination yake haiwezi Kuwa chini ofisi ya RC
Maji yaliingia vipi wakati utoboaji ulifanyika juu ambapo ni zaidi ya usawa wa ziwameli ilikuwa imezama,katika harakati za kuokoa wahanga,waokoaji wakafikia maamuzi ya kuitoboa meli ili wawatoe wahanga,maana walikuwa hai ndani ya meli wakati meli iko ndani ya maji.sasa ilipotobolewa ili kuokoa watu,na maji nayo yakapata pa kuingilia ndani ya meli Na meli ikazama zaidi Na kusababisha wote walionaswa kufa.
Labda za kuzuia maadamanoHivi hizi ajali za meli Tanzania huwa ni kafara au vipi? Yaani toka 8mchana mpaka Giza kinaingia hakuna hata helicopter ya kurandaranda
kwa haya maelezo yako naongeza bombadier nyingine...nimetibuka haswaaMkuu ukimaliza kutibuka ukumbuke kuwa mbunge huyo anatoka kisiwa cha Ukara,
Samahani, sina lengo la kukutibua zaidi
Ngoja niwaze mkuu[emoji621]Kwa nini usiende labda ??
Badala ya kuedit alipokosea anakomaa tu kwamba kama hujaelewa pita hivi, " UKIKOSEA HUTAKI KUKOSOLEWA????Acha ujinga Nanga wewe.. Andika MV alaaa!!!
Karudi kinyume nyume km yule wa kukamata kijiji kizima, Google ikishanasa hakuna jinsi ya kufuta
Labda angetoa za kwake mfukoni,sidhani kama ule mfuko wa maafa kama upo, nadhani ulifutwa sababu ya wapiga dili.Mongela you need to be proactive.
Ungeanza kujipanga mapema na mahema. Majenereta. Bulbu.fedha kidogo na chakula kwa waokoaji. Huyu aliyeokolewa hai leo angetoka na wengine wengi wasio na hatia.
Mongela alifika eneo na tukio na smart phone minus washauri wake na hakua na mkakati wowote zaidi ya kupigwa picha.
Yuko hoi mkuu tunamwahisha hospital kwanzaPicha yake iko wapi? Sasa Mkuu wa mkoa bado yuko ofisini? Jamani Tanzania!!! ndo viongozi wetu. Hata kutafuta jenereta likawashwa uokozi ukaendelea walishindwa?? Hatuna viongozi nchi hii. eti " tunasitisha uokoaji kwasababu ya giza"
Alivyojipaka oil alizuia metabolism mkuu. Ameziba matundu ya vinyweleo mwilini hivyo kufanya mambo ya metabolism yaende taratibu sana mkuu. Pia imekuwa kama insulator dhidi ya maji maana mwili ungeanza kumenyeka kama magome ya mti.Tafadhali fafanua kidogo hasa namna inavyofanyika!!!